Katika blogu hii, tutachunguza njia mbalimbali za kuimarisha ufahamu wetu wa Biblia. Tutajadili mbinu za kusoma Biblia kwa ufanisi, vidokezo vya kukariri maandiko matakatifu, na mikakati ya kutumia somo la Biblia katika maisha yetu ya kila siku. Iwe wewe ni mtaalam wa Biblia mzoefu au unaanza tu safari yako ya imani, "Jifunze Biblia Zaidi" ni rasilimali kamili ya kukusaidia kuongeza ufahamu wako wa Maandiko Matakatifu na kumkaribia Mungu zaidi.

JE, NI HALALI WANAWAKE KUHUBIRI MIMBARINI?

JE, NI HALALI WANAWAKE KUHUBIRI MIMBARINI?


Nataka wanaume wasalishe kila mahari……. Huku wakiinua mikono iliyotaka……………simpi ruhusa mwanamke kufundisha wala kumtawala mwanaume………..1Timotheo 2:8-12, Mwanzo 3:16-17
Kanisa lolote linalowaweka wanawake kuhuibiri mimbarini ni kuinua ibada ya Tamuzi na kuiharalisha, Nabii Ezekieli alipoona machafuko kama hayo alishangaa sana.Mungu  alimwambia utaona makubwa zaidi ya hayo.
“ndipo akanileta mpaka mlango wa kuingilia katika nyumba ya BWANA ulioelekea upande wa kaskazini na tazama, wanawake wakimlilia Tamzi”Ezekieli 8:14,Nehemia 8:4
Tangu mwanadamu alioumba, mwanaume ndiye aliye kabadhiwa madaraka.wakati Adamu anakabidhiwa ukuhani,na madaraka, “mungu alimwambia matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile.MWANZO 1:16 siyo msile kwa Hawa akizungumza na nyoka alijibu usile.MWANZO 3:1HATA kazi ya uongozi alikabidhiwa mwanaume ,na ndiye aliye waita viumbe majina MWANZO 2:20……… Kanuni hiyoaliichagua Mungu mwenyewe sisi hatuna ruhusa, kuhoji au kulekebisha mpango ulowekwa na MUNGU tangu zamani, mimbari imekuwa ikitumiwa na wanaume .1Wafalme8:54, 2 Nyakati6:12-13.

MIMBALI IPO HADI LEO?

 JIBU “wengi watasimama katika mimbari zetu wakiwa wamenyanyua mienge ya unabii wa uongo mikononi mwao” Matukio 165 .TM 409, 1411, 1898.Ieleweke kwamba kunatofauti kati ya mimbari na huduma za patakatiifu
       I.            Mimbari ni mahari ambapo wafalme ,waamzi,makuhani na viongozi wote waisraeli walikuwa , wakiwafundisha watu na kutoa maelezo jinsi watu wanavyopasa kumtumikia Mungu, Luka 4:16,Matendo 2:14.
    II.            Patakatifu waliruhusiwa makuhani pekee yao tu.Mfano chumba cha pili cha patakatifu  pa patakatifu aliingia kuhani mkuu  pekee yake  Walawi 16:1-34 kutoka sura ya 25 na sura ya 29.
Mimbari ndio ofisi takatifu kwa ajili ya makuhani  wa leo ,lakini wanatakiwa watu kama kalebu,walio  
majasiri kwa watu wanotambua ukweli kutoka kwenye makosa TM 407.
“Wachungaji na wazee  wa makanisa wameitwa kwa kazi ya ukuhani wa leo wanapaswa kuanza kazi hiyo katika familia zao ambayo ni makanisa madogo”2T 620 1Timotheo 3:1-7
“Wachungaji na wazee wameitwa kwa kazi ya ukuhani  wa leo kutoa kafara ya kiroho”FE 461 Tito 1:5-8
“Siyo kila mtu anaweza kuwa mwalimu wa Neno la Mungu kwenye Mimbari” 4T118
“hakuna mtu anayefaa kusimama katika mimbari takatifu.Mpaka awe ametakaswa na kuguswa na Neno la Mungu katika moyo wake. 4T526.
“Mpaka ambayo neno la Mungu liliweka kwa ajili ya watu wa Mungu imevunjwa na kuanguka chini. Wale ambao walikuwa wanafahamu njia ambayo Mungu amewaongoza watu wake kwa wakati uliopita .baada ya kuuliza mapito ya zamani na kuutetea msimamo wetu kama watu wapekee wameonyesha mikono yao kushikamana na dunia.sauti ya maonyo yamenyamanzishwa.Macho ya watu wa Mungu yametiwa giza wakati huo kanisa likienda mbio kwenda duniani” 4T uk. 513.
Hatuna shaka tunapoona mambo yanayotokea duniani yakipenya na kuingia kanisani na kutolewa kwa nguvu,ni kwa sababu viongozi ambao wangeongoza watu kupitia katika njia ya ulimwengu.



KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NASI
0756959525,0752164685








Share:

Popular Posts

Lebo

Recent Posts

Pages