Katika blogu hii, tutachunguza njia mbalimbali za kuimarisha ufahamu wetu wa Biblia. Tutajadili mbinu za kusoma Biblia kwa ufanisi, vidokezo vya kukariri maandiko matakatifu, na mikakati ya kutumia somo la Biblia katika maisha yetu ya kila siku. Iwe wewe ni mtaalam wa Biblia mzoefu au unaanza tu safari yako ya imani, "Jifunze Biblia Zaidi" ni rasilimali kamili ya kukusaidia kuongeza ufahamu wako wa Maandiko Matakatifu na kumkaribia Mungu zaidi.

MWILI WA ASILI CHANZO CHA UTUMWA WA DHAMBI!

MWILI WA ASILI CHANZO CHA UTUMWA WA
DHAMBI!

Amani ya Bwana iwe nanyi wapendwa!
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo
juu,tuchangie kuangalia mojawapo ya sifa za
mwili wa asili ambacho ndicho chanzo cha
utumwa wa dhambi!
Paulo asema:«Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa
kwanza, Adamu, akawa nafsi iliyo hai; Adamu
wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.Lakini
hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili;
baadaye huja ule wa roho.Mtu wa kwanza
atoka katika nchi, ni wa udongo. Mtu wa pili
atoka mbinguni.Kama alivyo yeye wa udongo,
ndivyo walivyo walio wa udongo; na kama
alivyo yeye wa mbinguni, ndivyo walivyo walio
wa mbinguni.Na kama tulivyoichukua sura
yake yule wa udongo, kadhalika tutaichukua
sura yake yeye aliye wa mbinguni.»1Kori
ntho15:45-49
Kakika mafungu haya tunaona akina Adamu
wa wili(Adamu wa Edeni na Adamu wa
mbingu)
*Adamu wa Edeni ni wa udongo,
*Adamu wa Mbinguni ni wa Roho,
★Anasema kuwa wote kwa kuazliwa
tulichukuwa asili ya baba yetu wa dunia,ila
kwa neema ya damu ya Yesu twaweza kuingia
katika muunganiko wa kuchukua asili ya
Adamu wa mbinguni!
Wapendwa baada ya dhambi kuingia
ulimwenguni,mwanadamu alijiunga na adui
wa Mungu kupinga makusudi ya mbingu,na
kadri alivyo kuwa na kuimarika katika asili
hiyo,aliendelea kuwa mbali na Mungu na
kuvumbua uasi mpya!!
Soma hapa:«Baada ya dhambi,sheteni
hakupumzika aliazimia atakao waangusha
kama yy alivyoanguka.Kama alivyowadangany
a malaika ili wamgomee Mungu ndivyo
alivyomshawishi Adamu(wa udongo) kukiuka
(violer) sheria ya Mungu.Hivyo Adamu akaasi
kama Lucifer.Zaidi ya hayo Shetani na Adamu
wakawa marafiki,na wakajipanga kushambulia
mbingu kwa pamoja!»GC chap30 uk503
Nasi tukazaliwa na huyo huyo na kwa asili
tukawa tu maadui wa mapenzi ya Mungu na
tukawa hatuna nguvu ya kutenda mema na
ndiyo sababu mnaona huwa :udokozi,wizi,k
utukana,kukasirika,kulipiza kisasi,kuzini,nk
hayo hayafundishwi bali ni asili ya kila
mwanadamu!!!!!!
Paulo asema:«Kwa hiyo, kama kwa mtu
mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa
dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia
watu wote kwa sababu wote wamefanya
dhambi»Rumi5:12
Kwa sababu hizo ndani yetu kupitia Adamu
tulipoteza uwezo wa kutii sheria ya Mungu,
(Rumi8:7) na hicho ndicho chanzo cha wengi
hawawezi kutulia ndani ya Haki ya Mungu!
Yesu alisema:«Yesu akawajibu, Amin, amin,
nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa
wa dhambi.Wala mtumwa hakai nyumbani
sikuzote; mwana hukaa sikuzote.Basi Mwana
akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli
kweli»Yohana8:34-
Hiyo ndiyo sababu unaona wengi hujidai_,oh
mimi ni mtumishi,oh mimi nineokoka
oh...kama mafarisayo walivyomjibu
Yesu,wakisema kuwa wao si watumwa wa
mtu,kwa usemi mwingine walimwambia sisi
tumeokoka Yesu, # swali la kujiuliza ni“mimi
nimtumwa au niko huru?”
# Kuwa huru nje ya dhambi,siyo kuwa:
*mhubiri,*mchungaji,*
mwinjilisti,*mzee wa
kanisa nk ni zaidi ya hayo!!
Maana mmekuwa mkishuhudia ninyi wenyewe
wenye vyeo hivyo lakini,wakiwa bado
wanalawiti wafanyakazi wao,kutembea nje ya
ndoa,wengine kupata ukimwi nje ya
ndoa,kusuka nywele,kuklimu,vimini,suluale
kwa wana-mama nk(Je kweli hawa
wameokoka?)
WAPI NIPATE MSAADA WA KUNIPONYA?
____________________________
Paul alipokuwa bado ni mtumwa aliguswa na
hali ya Kimungu hivyo akalia akisema:«Ole
wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa
na mwili huu wa mauti?»Rumi7:24
Yesu alijibu na kuwaita wote waliojikuta ktk
hali hiyo akisema:"Njooni kwangu ninyi
nyote»Mathayo11:28
Hapa aliahidi kukupa nguvu na uwezo,uwezo
ule ulioupoteza ktk Adamu wa udongo
utaupokea ktk Adamu wa Roho kwa njia ya
imani!
Yesu asema:«Bali wote waliompokea aliwapa
uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio
wale waliaminio jina lake»Yoh1:12
Ombi:Katika jina la Yedu na kupitia damu
yenye nguvu ya Kalvary,pokea nguvu,na uwezo
ili kushinda mwili wa asili,Kristo aanzishe vita
ndani yako akishindana na utu wa kale,ili
akupe nguvu za kuishi utu upya na kudumu
ktk Uhuru nje ya Dhambi»
Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda
niwaamuruyo»Yoh15 :14


KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NASI
0756959525,0752164685
Share:

Vipindi 7 Vya Kanisa Katika Michakato Minne

 
MUHIMU: Somo hili limeelekezwa zaidi kwa kaka zetu na dada wa imani ya Kisababto ambao wanajifunza unabii. Hata hivyo, hii haina maana ya kusema kuwa wale walio nje ya SDA hawataweza kuona huu Ukweli kama vile ulivyo kwa sababu ni tukio la unabii hakika, na linatokea kwa uhakika katika siku zetu!
     Katika historia yote ya watu wa Mungu tunaona tabia moja inayojirudia na iliyobarikiwa. Imesemwa wazi kwa vielelezo kwa muda kwamba siyo sifa tu, hata hivyo, lakini zaidi uhitaji. Bila shaka ninaongea kutoka katika uhitaji wa moyo kuwa “Tokeni kwake, enyi watu wangu” ili kumfuata Bwana vizuri zaidi popote anapoweza kuongoza.
     Kama tukichunguza njia ambayo Baba aliwaongoza watu wake kutoka Babeli, michakato mitatu ya  iliyopita ya Kanisa lake; tutaweza kuona vizuri zaidi mapenzi ya Roho Mtakatifu katika mchakato wa nne na wa mwisho wa Kanisa la Mungu.

     “Ninataka kusistiza ukweli, kwamba Makanisa ambayo Yohana aliambiwa kutuma maelekezo aliyopewa huwakilisha Makanisa yote katika ulimwengu wetu, na kwamba huu ufunuo kwake unapaswa kujifunzwa na kuaminiwa na kuhubiriwa na Kanisa la Waadventista Wasabato leo. Kristo alikuja binafsi kwa Yohana kumwambia, ‘Mambo hayo…yaliyopo, na yale yatakayokuwa baada ya hayo’ (Ufu 1:19). Na kisha akaniambia, ‘Haya uyaonayo uyaandike katika chuo, ukayapeleke kwa hayo makanisa saba’ (Ufu 1:11). Nuru haikutakiwa kufichwa chini ya pishi.”
     “Katika ufunuo ambao Kristo alitoa umeungwa pamoja katika mnyororo wa ukweli ujumbe muhimu wa onyo na kwa dhahiri unapaswa kutolewa kwa ulimwengu kabla ya ujio wa pili wa Kristo. Ujumbe wa mwisho wa rehema unapaswa kuhubiriwa mahali ambapo haujapata kusikiwa. Watenda kazi wanapaswa kufanya kazi kwa kujinyima nafsi, kwa namna hiyo ya kujitoa, kiasi kwamba ujumbe utapelekwa kwa wale ambao hawajapata kuusikia” (“Manuscript Releases,” 1:372).

     Ujumbe kwa Makanisa saba, pasipo swali, ni lazima uhubiriwe katika karne zote. Leo, kikiwa ni kipindi wa Kanisa la mwisho, tumeitwa kupokea ujumbe wote kutokana na uharaka wa wakati tunaoishi ndani yake. Ni maarifa ya kawaida kwamba Ibilisi anajua kuwa ana muda mchache, kwa hiyo, kusema kweli, anazunguku kila mahali ulimwenguni akimmeza kila anayeweza. Haijapata kutoke katika historia ya Kanisa kabla tulipoona mchezo wa ushambuliaji uliopangwa kwa watu wa Mungu. Adui amejifunza kila somo kwa kusoma madhaifu ya watu wa Mungu zaidi ya miaka 6,000 na linatumiwa dhidi yetu.
     Unabii hauongelei Makanisa manane balisaba. Hivi vipindi saba vya unabii vilivyoongelewa katika Ufunuo sura ya pili na ya tatu vinaonyesha kile ambacho ingemchukua Roho Mtakatifu kuweka sawa tabia za wale “walioitwa kutoka” huko na kuingia katika ukamilifu huo uliotabiriwa. Masalio hawa humtukuza Baba kuliko yeyote anavyoweza. Hawa ni watu wa pekee, “wazao wake waliosalia,” (Ufu 12:17) ambao wanapokea muhuri wa Mungu aliye hai.
     Mchakato wa watu wa Mungu wakati wa kipindi cha Makanisa saba, bila shaka, ni wale walioitwa kutoka Babeli “kumfuata Mwana-Kondoo kila aendako” (Ufu 14:4). Michakato hii imepambanuliwa kuwa watoto wa Mungu wakitenda sawa na mapenzi yake makamilifu yalivyowataka watende. Michakato yao inaonekana kama bado ni njia ya kumthibitisha Bwana Yesu Kristo na ukweli wake kama wa juu. Kwa sababu pasipo mkono wake kuhusishwa, wasingechukua hata hatua moja katika sehemu ya kwanza. Na mahali pasipo na hatua, hakuna mchakato.
     “Kutoka karne hadi karne Kristo alikuwa ametoa hazina zake kwa Kanisa, na kutoka kizazi kimoja  hadi kingine watumishi wake waaminifu wameendeleza talanta walizopewa. Karama ambazo miaka  elfu moja mia nane iliyopita aliziweka katika mikono ya wahudumu wake waliochaguliwa, mitume kumi na wawili, zimeshuka kwa watenda kazi wake katika kizazi hiki. Na bado ni watu wachache kiasi gani kati yetu wanatambua bahati hii, na nafasi yetu kama wahudumu wa neema yake” (“Manuscipt Releases,” 5:358.).
Siku moja haitakiwi kuwa ya kipekee. Bwana alisema waziwazi: “Mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari” (Mt 28:20). Yuko pamoja nasi! Hatupaswi kuwa na jicho lililopofuka, au mgongo uliopoa kwa wito tunaohisi ukivuta roho zetu kabisa. Kufanya hivyo kungekuwa udanganyifu kwa mioyo yetu.
     “Ulimwengu unajiandaa kwa pambano kuu la mwisho, taifa kuinuka dhidi ya taifa jingine. Jamii kubwa ya wanadamu wanachukua misimamo yao kinyume na Mungu. Lakini katika kila kizazi Bwana Yesu amekuwa na mashahidi wake—masalio waliotumaini katika neno la Mungu. Na leo, katika kila sehemu kuna wale wanaofanya ushirika na Mungu. Mvuto muhimu wa mfereji wa chini unawaongoza kwenye nuru, na wakati swali linapokuja kwao, ‘Nani aliye upande wa Bwana?’ watachukua nafasi zao upande wake. Tabia yao imebadilishwa kufanana na tabia ya uungu, kwa sababu wamesoma na wanatembea sawa na mafundisho ya Neno lake” (“Signs of the Times,” Novemba 23, 1904).
  Kwa nini michakato minne? Mungu ni Mungu wa utaratibu na kanuni. Kila kitu katika utendaji Wake kipo katika kanuni zake. Mungu hutenda kazi katika hatua nne ili kufikia kukomaa kwa kazi Yake na mavuno kupatikana.  Imeandikwa: “…..nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne……Bwana akamwambia Ibrahimu, Ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake, watawatumikia watu wake, nao watateswa muda wa miaka mia nne. Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana haujatimia uovu wa Waamori bado.” Kutoka 20:5; Mwanzo 15:13, 16.
Katika amri ya pili Mungu alimaanisha vizazi vinne kutoka kwa Adamu wa kwanza hadi Adamu wa pili yaani Kristo. Vizazi hivyo ni kama ifuatavyo: kwanza Adamu – Nuhu (Mwanzo 5); pili Nuhu – Ibrahimu (Mwanzo 11); tatu Ibrahimu hadi Yesu (Matthayo 1:2-16) na nne, Yesu hadi mwisho wa dunia (Matthayo 24:34.)
Kwa Ibrahimu, Mungu alimuambia kwamba kizazi chake cha nne ndicho kitarudi kwenye nchi ya ahadi baada kutumika kwa miaka mia nne katika nchi ya utumwa. Kizazi cha kwanza cha Ibrahimu ni Isaka, kizazi cha pili ni Yakobo, kizazi cha tatu ni watoto 12 wa Yakobo na kizazi cha nne ni watoto wa watoto 12 wa Yakobo. Tunatambua kwamba watoto 12 wa Yakobo walifia Misri na wakati Waisraeli wanatoka Misri walibeba mifupa ya Yusufu na kuondoka nayo (Mwanzo 50:25.)
Katika Maandiko hayo tunatambua kwamba haikuwa kwa kubahatisha kwamba Mungu alitoa Amri ya pili na kuielezea katika mpangilio wa vizazi vinne kwa wale watakaokwenda kinyume na matakwa yake. Pia alimwambia Ibrahimu kwamba uzao wake utakaa Misri kwa miaka mia nne katika hali ya utumwa ambapo sababu ya kuwa huko kwa kipindi hicho ni kusubiri uovu wa Waamori ufikie katika kipimo cha kujaa kikombe.
Akiwa hapa duniani, Yesu alifundisha “Akasema, Ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi; akawa akilala na kuondoka, usiku mchana, nayo mbegu ikamea na kukua asivyojua yeye. Maana nchi huzaa yenyewe; kwanza jani, tena suke, kisha ngano pevu katika suke. Hata matunda yakiiva, mara apeleka mundu, kwa kuwa mavuno yamefika.”
Hizi ndizo hatua nne katika kanuni ya utendaji wa Mungu ili kupata mavuno katika ufalme wa Mungu; yaani hatua ya kwanza ni jani, ya pili ni suke, tatu ni ngano pevu katika suke na nne ngano iliyokwisha kuiva au kukomaa tayari kwa mavuno. Je,  mavuno katika uharibifu yanapatikana kupitia hatua ngapi? “Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe….Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa, huzaa mauti.” Yakobo 1:14,15. Hatua nne pia kuelekea kuvunwa katika uharibifu, kwanza tamaa, pili mimba, tatu dhambi na nne mauti.
Ilikuwa ni kupitia hatua nne pia kwamba Mungu aliwasafirisha Israeli wa kale kutoka Misri kwenda nchi ya ahadi ya Kanani. Hatua ya kwanza ilikuwa ni kutoka Misri hadi bahari ya Shamu; hatua ya pili ilikuwa ni kutoka bahari ya Shamu hadi Sinai; tatu kutoka Sinai hadi Kadesh na nne ni Kadesh hadi Kanani. Ndiyo maana Israeli wa leo, yaani kanisa la Mungu baada ya Israeli wa kale, lazima lisafirishwe na Mungu katika hatua nne ndipo wale watakaokuwa wamekomaa kama ngano safi watavunwa katika ufalme wa Mungu.
Ili kukamilisha safari ya Israeli wa leo, Mungu analiongoza kanisa Lake kupitia katika vipindi saba vilivyoonyeshwa kupitia nabii Yohana. Wengi kwa kutojifunza chini ya uongozi wa Mungu, wameshindwa kutambua jinsi Mungu anavyoliongoza kanisa Lake katika siku hizi za mwisho.
Kabla ya vipindi saba vya kanisa saba havijajapata kuwepo, wokovu ulikuwa ni wa Wayahudi, na pasipo shaka, hili ndilo lilikuwa Kanisa la Mungu. Lakini kwa sababu Wayahudi walimwasi Mungu, hawakuwa tena kanisa lake. Mungu ataendelea kutenda kazi kwa kutumia kanuni hii hadi kukomaa kwa mavuno ya kanisa lake.
Basi tuna Michakato Minne sambamba na vipindi Saba vya Kanisa la Yesu:
Kipindi cha kanisa            Jina                                             Hatua

Efeso
Smirna
Pergamo
Thiatira
Ukristo
1

 Sardi
Filadelfia
Uprotestanti
2

Laodikia
Uadventista
3

Masalio wa SDA
4


gray-tl

gray-tr


1. Efeso (31-100 B.K.) “…na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya” (Ufu 2:2, 3, 6, 7).
Mchakato wa Kikristo – Mitume wanahubiri ukweli kwa ulimwengu katika hali ya juhudi za umisionari uliobarikiwa sana uliojulikana kwa mwanadamu (Mdo 13:46; 17:6; 18:6)
2. Smirna (100-313 B.K.) ...Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri)” (Ufu 2:9, 10).
3. Pergamo (313-538 B.K.) ...nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu” (Ufu 2:13, 17)
4. Thiatira (538-1517 B.K.) ...wowote wasio na mafundisho hayo…sitaweka mzigo mwingine” (Ufu 2:24-26).
5. Sardi (1517-1798 B.K) “Lakini unayo majina machache...watu wasioyatia mavazi yao uchafu” (Ufu 3:4, 5). 
Mchakato wa Kiprotestanti – Matengenezo ya Kiprotestanti na mashahidi wake wengi (Ufu 7:13-17).
6. Filadelfia (1798-Ujio wa pili wa Kristo) “Yeye ashindaye…nitaandika juu yake…jina langu mwenyewe” (Ufu 3:7-13, angalia dondoo Na. 1).
7. Laodikia (1844-Ujio wa pili wa Kristo) “Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto” (Ufu 3:14-21).
Mchakato wa Waadventista – Uamso mkuu ambao ulitoka ulimwenguni kote sawasawa na unabii wa siku 2300 wa Danieli 8:14 na ulihubiriwa kuonyesha kuwa saa ya hukumu ilikuwa imekuja (Ufu 10:1-11; 14:6-8; angalia pia Dondoo Na. 2).
Mchakato wa Masalio wa Siku ya Saba – “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa la SDA), akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia (Masalio wa SDA), wazishikao Amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu. Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.(Ufu 12:17; 14:10-12, 17; 15:2, 3).


gray-bl

gray-br







Joka alifanya vita na wazao wa kanisa waliosalia (Masalio) ambao walidumu katika kuzishika Amri za Mungu na ushuhuda wa Yesu (Roho ya Unabii).
“Mungu ana Kanisa duniani, ambao ndiyo watu wake waliochaguliwa, wanaotunza amri zake.Anaongoza, siyo kundi la waliopotoka [machotara], siyo mmoja hapa na mwingine kule, lakini watu” (“Faith I Live By,” ukr. 2).
     Mungu amekuwa siku zote na Kanisa duniani. Michakato iliyopita ya Kanisa la Kikristo ni uthibitisho wa matunda yanayonena kwa ujasiri juu ya mioyo bikira ya watoto wa masalio waliopata kuwepo katika vizazi vyote. Ni kile tu “kisemwacho na Bwana” kinachoweza kushika kamba za moyo wa kitu hiki, watu wake. Hata kama wale wanaowazunguka wakitafuta kuua miili yao, njia yao pekee ni kwenda popote Mwana-Kondoo aendapo. Hata kama hii inamaanisha kuacha familia na marafiki, masalio wanapaswa kutembea na Bwana na kufanya sawa na walivyoumbwa kufanya. Wateule hawawezi kufanya zaidi ya hili.
“Kwa kukataa njia za Mungu na kufuata njia za wanadamu, anguko la Israeli lilianza. Hivyo basi liliendelea, mpaka Wayahudi walipokuwa mawindo hasa kwa mataifa ambayo matendo yao walikuwa wamechagua kufuata.
“Kama taifa, wana wa Israeli walishindwa kupokea bahati ambayo Mungu alitamani kuwapatia.Wa kuthamini kusudi lake au kushirikiana naye katika kulitekeleza. Lakini hata kama watu binafsi na watu wanaweza basi kujitenga wenyewe kutoka kwake, Kusudi lake kwa hao wamtumainio halibadiliki. ‘Najua ya kwamba kila kazi aifanyayo Mungu itadumu milele’ (Mhu 3:14).
     “Wakati kuna viwango tofauti vya maendeleo na udhihirisho tofauti wa nguvu yake kukidhi mahitaji ya watu katika vizazi tofauti, Kazi ya Mungu kwa wakati wote ni ile ile. Mwalimu ni yule yule. Tabia ya Mungu na mpango wake ni ile ile. Kwake yeye ‘hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka’ (Yak 1:17).
     “Mapitio ya Israeli yaliandikwa ili kutuelekeza sisi. Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani’ (1 Kor. 10:11). Kwetu sisi, kama ilivyokuwa kwa Israeli ya zamani, mafanikio katika elimu hutegemeana na uaminifu katika kutekeleza mpango wa Mwumbaji. Utii kwakanuni za Neno la Mungu kutatuletea mibaraka mikubwa kama ambavyo ungeleta mibaraka mikubwa kwa Wayahudi” (“Education,” ukr. 50).

     Ushauri wa upendo Bwana wetu anaoutoa kwa Kanisa la Laodikia unaongelea waziwazi kuwa kinachotakiwa ni toba ya kweli kwa wote walionaswa katika fikra hizi za upofu. Hakuna tofauti yoyote kuliko ya viongozi wa Kiyahudu wa wakati wa Yesu, sawa na tunayoiona kwa viongozi wenye majivuno wa Kanisa la Waadventista wa leo wakikataa ushauri wa wazi ulio katika Maneno ya Bwana wetu. Miaka mingi Bwana ametuma watoto wake waaminifu wengi kuwaonya wale anaowapenda. Lakini maonyo mengi yamedharauliwa na wengi. Hata wakati ukweli uliothibitishwa umeletwa machoni pao, wamegueza kisogo. Rehema kwa kiasi kikubwa imefungwa kwa Kanisa hili, sawa tu na rehema ilivyofungwa kwa taifa la Wayahudi muda mrefu uliopita na Waprotestanti mwaka 1844. kama ilivyo, rehema imefungwa kwa Kanisa zima lakini si kwa watu walio ndani yake.
     Wakati wa unabii wa miaka 490 ulipotimia, Mungu aliwaita watu kutoka katika makosa na kuanza mchakato wa Kikristo kwa kutumia wale walioitwa. Kusema kweli Paulo aliingia katika Makanisa ambayo kiunabii yalikuwa yamefungwa ili apate kuwatoa. Leo, Bwana anafanya kitu hicho hicho. Watoto wake watakwenda popote Mwana-Kondoo anapoongoza, na kama wote tunavyojua, hawezi kuwaongoza kupokea uasi wa wazi.

     “Njozi ambayo Kristo alimwonyesha Yohana, ikionyesha amri za Mungu na imani ya Yesu, inatakiwa kuhubiriwa waziwazi kwa mataifa yote, watu, na lugha. Makanisa, yanayowakilishwa na Babeli, yanaonyeshwa kuwa yameanguka kutoka katika hali yao ya kiroho na kugeuka kuwa mamlaka ya kutesa wale wanaotunza amri za Mungu na wana ushuhuda wa Yesu Kristo. Kwa Yohana hii mamlaka itesayo inawakilishwa kuwa ina pembe kama mwanakondoo, lakini inanena kama joka” (“Testimonies to Ministers and Gospel Workers,” ukr. 117; “Evangelism,” ukr. 197).
     “Kama Kanisa la Mungu likiwa vuguvugu, halisimami katika kupendwa na Mungu tena kama Makanisa ambayo yanawakilishwa kuwa yameanguka na kuwa maskani ya mashetani na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza” (“Manuscript Releases,” 19:176).
     “Ulimwengu usiingizwe kamwe Kanisani, na kuolewa na Kanisa, ukifanya muungano wa umoja. Kwa njia hii Kanisa litapotoka kweli, na, kama ilivyoelezwa katika Ufunuo, kuwa ‘Ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza’” (“Testimonies to Ministers and Gospel Workers,” ukr. 265).
     Hali ya Kanisa la Waadventista Wasabato leo kwa uhakika imekuwa ni Babeli. Kila aina ya uasi na mafundisho ya uongo yamepokelewa na viongozi wake, na wamefanya hivyo kwa miongo kadhaa. Uchunguzi wa kina wa fungu lifuatalo utakuongoza kuona kwamba hii ni hali iliyokuwa imetabiriwa kwa Kanisa hili. “Mwanamke sasa amefikia hatua ya kujikinai, na wakati huo huo, masalio ya uzao wake wamesimama imara.
     “Joka akamkasilikia yule mwanamke, akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo” (Ufu 12:17).
     Imetabiriwa waziwazi kwamba joka litazidisha mashambulizi yake na kufanya vita kwa masalio ya wazao wake, na siyo uzao wenyewe. Awali ya yote uzao wa mwanamke, Kanisa mama [SDA], lilishikilia sheria na kujua unabii. Ndiyo, Shetani ana hasira na hili Kanisa. Hata hivyo, hasira yake imelifanya kumwinamia. Ni masalio ya uzao wake wanaomfanya aende vitani sasa, kwa sababu hawako tayari kumsujudia. Masalio wanaotunza siku ya saba wanathibitishwa kuwa ni wale wanaoshinda.
     “Hata kama sheria ya Bwana itadharauliwa karibu ulimwenguni kote, kutakuwepo na masalio wa haki ambao watakuwa watiifu kwa matakwa ya Mungu. Hasira ya joka itaelekezwa dhidi ya watumishi waaminifu wa mbinguni. Nabii anasema, ‘Joka akamkasilikia yule mwanamke, akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo’ (Ufu 12:17). Tunaweza kuona kutoka kwenye andiko hili kuwa siyo Kanisa la kweli la Mungu ambalo linafanya vita na wale wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo. Ni wale wanaoidharau na kuitangua sheria, wanaojiweka wenyewe upande wa joka, na kuwatesa wale wanaoithibitisha sheria ya Mungu” (“Signs of the Times,” April 22, 1889).



Joka akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia.
 gray-tl

gray-tr

           Waaminifu
         Watesaji
1.     Wakristo waliteswa na Wayahudi. (Viongozi wa Kanisa la Kiyahudi waliwatafuta Wakristo ili kuwafunga na kuwaua)
  1. Waprotestanti waliteswa na Upapa. (Mamilioni ya Wakristo waliuawa kama wazushi na Rumi ya Kipapa)
  2. Waadventista waliteswa na Waprotestanti. (Waprotestanti walidhihaki, na kuwakejeli Waadventista wakati wa Kilele cha Kukatishwa Tamaa)
  3. Masalio wanateswa na Waadventista. (Masalio wanachukuliwa kotini, na hali kadhalika kudhihakiwa, kukejeliwa, na kufutwa ushirika kinyume na sheria na Kanisa la SDA. Nabii anasema Wa SDA watawasaliti Masalio kwa Wakatoliki na kusaidia kupatikana kwao ili wauawe.)
  1. Wakristo

  1. Waprotestanti  

  1. Waadventista   


  1. Masalio      
  1. Wayahudi

  1. Wakatoliki

  1. Waprotestanti


  1. Waadventista



gray-bl

gray-br
“Niliona kanisa kwa jina na Waadventista kwa jina, kama Yuda, watatusaliti kwa Wakatoliki ili wapate nafasi ya kuwa kinyume na ukweli. Kisha watakatifu hawataeleweka, wakijulikana kidogo kwa Wakatoliki; lakini makanisa na waadventisata kwa jina wanaojua imani yetu (maana walituchukia kwa sababu ya Sabato), watawasaliti watakatifu na kupeleka taarifa kwa Wakatoliki kuwashitaki watakatifu kama watu wasiojali taasisi za wanadamu; yaani, wanaitunza siku ya Sabato na kutokuijali siku ya jua, jumapili.” [Ellen G. White, SpM 1.5]
Hata leo, wengi wetu ambao tunapeleka ukweli kwa moyo mzuri kwa wale wanaoanguka katika uasi, tumeona aina zote za uovu zikibambikizwa juu yetu. Dada White alieleza hili kwa uyakinifu, Ahabu alimhesabu Eliya kama adui yake kwa sababu nabii alikuwa mwaminifu kukemea maovu yake ya siri. Kwa hiyo leo mtumishi wa Kristo, mkemeaji wa dhambi, hukumbana na dharau na kukataliwa makusudi(“Spirit of Prophecy,” 3:12; “The Desire of Ages,” ukr. 589).
     Kama tunavyojua, kwa njia ya kujifunza unabii, mchakato wa Ki-ekumene tunaouona ukienea kila mahali katika ulimwengu wa leo, hatimaye utakusanya wale wote walio wa Babeli kufanya vita dhidi ya Masalio waaminifu wa Siku ya saba. Tunayaona haya katika michakato ya Upapa kupitia katika Kanisa moja la ulimwengu, na tunaona mshikamano wa Kikristo ukitenda kazi kwa ushirikiano na Roma ili kufikia mwisho ule ule hapa hapa Marekani. Muda si mrefu siku itawadia wakati ambapo tutashuhudia kile ambacho Wakristo wote wa zamani waliona wakati wa zama za mateso makali. Wale wote wanaochukia ukweli watawazunguka wana wa masalio wanaochukiwa ulimwenguni kote.
     Ni wakati muafaka wa kuwakaribia ndugu zetu na kaka katika Bwana na kujaribu kuwambia ukaribu wa mambo katika siku zetu. Kitu cha kusikitisha ni kwamba, hii si kazi nyepesi kuifanya. Shetani ameshawadanganya wengi tayari na utaratibu wa aina hiyo hiyo wa kuchanganya alioutumia kipindi cha nyuma. Wengi wao sasa wanapokea kuwa Kanisa la Waadventista Wasabato litapita hadi mwisho bila kujali ukweli kwamba kuna ushahidi mwingi uliokusanywa dhidi yake kulifunua kama dada kwa Babeli iliyoanguka. Kama wakipokea uongo ni namna gani wanaweza kusimama upande wa ukweli? Bado, baadhi wataruhusu dhambi ya wazi kutamalaki kwa kile wanachokiona kuwa “kizuri zaidi.” Kuchanganyikiwa huku tu kunatosha kutambulisha kuwa hii niishara mojawapo ya kutangaza kwamba mkono wa Bwana uko upande wa mchakato wa Masalio wa Siku ya saba.
gray-tl

gray-tr

Kujitenga kunaitwa Uzushi
  1. Kanisa la Kiyahudi lilitangaza kujitenga kuwa ni uzushi.
  2. Kanisa la awali la Kikristo ambalo lilikuwa Wakatoliki lilitangaza pia kuwa ni wazushi wale waliojitenga kutoka ndani yake.
  3. Kanisa la Kiprotestanti mpaka leo hii, wakati halijajitenga kabisa kutoka Roma, hudai kuwa ndiyo njia pekee kwenda mbinguni.
  4. Na sasa Kanisa la Waadventista Wasabato linatoa kilio kile kile kwa kutangaza kwamba ni vema kukaa na meli inayozama, kuliko kuiacha. Wanaojitenga na kanisa hilo wanaitwa wazushi na waasi.
  1. Wayahudi

  1. Wakatoliki


  1. Waprotestanti


  1. Waadventista






Hata hivyo kujitenga ni kanuni ya Mungu. Musa aliwaambia waisraeli wajitenge na waasi kule jangwani kabla Mungu hajawaangamiza kwa kufunua kinywa cha ardhi na kuwafunika waasi wote.  “Kulikuwepo na kutoka nje, utengano wa kujitenga na waovu uliotolewa maamuzi, kukimbia ili kuokoa maisha. Ndivyo ilivyokuwa katika siku za Nuhu; ndivyo ilivyokuwa kwa Lutu; ndivyo ilivyokuwa kwa wanafunzi muda mfupi kabla ya angamizo la Yerusalemu; na ndivyo itakavyokuwa katika siku za mwisho. Sauti ya Mungu inasikika tena ikiwa na ujumbe wa onyo, ikiwataka watu wake wajitenge kutoka katika wimbi la uovu.” [E.G. White, Wazee na Manabii uk. 167, kurasa za ndani.]

 Kwa kuangalia neno lake, mtu anaweza kuona waumini wakimfuata Bwana wao kwa uaminifu kufanya kazi aliyowaitia kuifanya. Mwanzoni kabisa tulikuwa na Kanisa la Kiyahudi ambalo lilikuwa limechaguliwa na Baba kutangaza ukweli wake kwa Ulimwengu. Lakini uovu uliingizwa na hatimaye walikutwa hawastahili kupata uzima wa milele. Kwa hiyo watu wa Bwana walitoka kati yao kufanya kazi ya Bwana na kuanza mchakato wa Kikristo. Baada ya hapo tunaona tena Kanisa likiingiliwa na uovu wakati Ukatoliki wa Kirumi uliporuhusiwa kuchanganyika na Upagani na Ukristo.

Tena watu wa Bwana walitoka kwenye uovu ili kufanya kazi katika matengenezo ya Kiprotestanti. Hatimaye tena uovu ulikumbatiwa na sauti ya Bwana wetu ilisikika kwa Waadventista waaminifu kutoka Babeli na kufanya kazi yake. Bila shaka, historia ilirekodi hili kama mchakato wa Waadventista Wasabato. Mwishoni, leo katika saa ya kumi na moja tunaona Kanisa la Waadventista Wasabato likikumbatia uovu kama ukweli. Kwa hiyo Bwana kwa mara nyingine tena anatangaza kwa Masalio wake waaminifu kutoka kati yake na kufanya kazi ambayo ni ya haraka sana katika siku zetu. Je, unaweza kuona uhakika wa unabii wa matukio haya? Je, hii yote haijaonyeshwa kwa vielelezo kamili katika mfano wa wakulima katika shamba la mizabibu uliotolewa na Bwana Yesu mwenyewe?

“Kwa maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba, aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu. Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu. Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasio na kazi; na hao nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo haki nitawapa. Wakaenda.Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vile vile. Hata kama saa kumi na moja akatoka, akakuta wamesimama, akawaambia, Mbona mmesimama hapa hapa mchana kutwa bila kazi? Wakamwambia, Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Akawaambia, enendeni nanyi katika shamba la mizabibu” (Mt. 20:1-7).

gray-tl

gray-tr

Asubuhi na mapema sana = Taifa la Kiyahudi
Saa 3 = Wakristo
Saa 6 = Waprotestanti
Saa 9 = Waadventista
Saa 11 = Masalio Wanaotunza Sabato

gray-bl

gray-br

     Ukweli ni kwamba waumini wa kweli walijitenga kutoka kwenye sinagogi la Shetani la taifa la Kiyahudi, kwamba walitoka pia kutoka katika Upagani wa Ukatoliki wa Kirumi, na kwamba hata walitoka pia kutoka katika uovu wa Kiprotestanti. Na sasa tunaona Masalio tena wakielekea katika mwelekeo wa kweli tu ambao mtoto wa Mungu anaweza kuufuata. Tunaweza kuongozwa tu na Mwana-Kondoo wa Mungu. Hatutakiwi kunajisiwa na wanawake hawa (au Makanisa yaliyoasi—angalia Ufu 14:4).

     Wateule wa Mungu hawawezi kudanganywa. Tunapaswa kufuata popote anapoongoza! Tunafanya hivyo tu kwa sababu sisi tu kondoo wake, na tunaisikia kwa uhakika sauti yake. Wakati viongozi wa Kanisa wanapokumbatia uovu hadharani na kukataa kila onyo la kutubu, masalio hawawezi kusimama nao tena. Hasa baada ya mambo mengi kuwa yamefanyika kujaribu kuwajulisha uasi ambao hawaukumbatii tu bali pia wanauhamasisha.

Je, sisi siyo watu wanaoelewa kanuni ya unabii? Je, hatuvutwi sana katika mioyo yetu kutafuta makimbilio mahali ambapo tunaweza kuabudu katika kweli sawa na mioyo yetu inavyotusukuma kufanya? Wateule hawawezi kusimama na uovu, sawa na ambavyo Shetani hawezi kusimama katika kweli. Haiwezekani kabisa kutokea.

     Hivi karibuni nilitoa swali hadharani kuhusiana na “kutoka” katika Kanisa la Waadventista Wasabato. Nilitaka kujua kama kila mtu alikuwa analiona. Kwa muda mfupi tu, nimepokea mamia ya barua pepe zikieleza ukweli katika ukweli huu, na kuomba ushauri juu ya nini cha kufanya hatimaye. Watu kutoka ulimwenguni kote wanatafuta wale wanaoweza kuwaamini na kumwabudu Bwana pamoja nao katika roho na kweli. Wana njaa ya ukweli tunaoutoa. Hauhubiriwi katika mimbari ya Makanisa yao tena. Kondoo hawalishwi tena katika Makanisa haya. Wametoka, kwa sababu hakuna nafasi kwa ajili yao tena katika Makanisa haya. Ni wazi kuwa sauti ya Bwana inasikika. Watoto wake wanaitikia wito wake “Tokeni kwake, enyi watu wangu.”
     Litunze hilo mawazoni. Watoto wake ni kweli huisikia sauti yake. Wanatoka kabisa kati yake.Hili siyo jambo ambalo yeyote anahitaji kushurutishwa tena zaidi. Kutoka kwa watu wengi kunatokea ulimwenguni kote. Kwa baadhi yetu tulio na huduma duniani kote, ukweli huu unajirudia kila siku mbele za macho yetu kutoka katika kila sehemu ya maisha. Watu nje na ndani ya Kanisa wanaona hili waziwazi.
     Wale wanaokubali au kupinga utengano wanakiri, kuna mchakato mwingine unaoonekana leo! Hii tu iko wazi kabisa. Kama nilivyosema mapema, mkono wa Bwana unaonekana hapa. Kwa sababu pasipo mkono wake kuhusika, Wafuasi wa Mungu wasingechukua hata hatua moja kutoka katika Kanisa lililoanguka. Mahali popote pasipokuwa na hatua, hakuna mchakato. Na kwa yakini kuna mchakato wa watu wa Mungu siku hizi kabisa. Je, usingependa kuwa sehemu ya Mchakato wa
Masalio?
KUMBUKA 1: Wengi wanaamini kwamba Filadelfia iliishia mwaka 1844, lakini mlango ule uliofunguliwa kwa Filadelfia ulikuwa ni mlango wa Patakatifu pa Patakatifu kule mbinguni (angalia “Spirit of Prophecy,” 4:268-269). Hivyo hali ya Filadelfia inazidi baada ya Oktoba 22, 1844 mpaka kazi ya huduma ya Kristo imekamilika.
KUMBUKA 2:Kristo ameauacha mchakato wa Kiadvenista na hali kadhalika Kanisa la SDA (“Testimonies for the Church,” 8:250) kwa sababu ya uasi kama vile alivyofanya kwa Kanisa la Kiyahudi (Mwa 49:10; Mt 21:43; 23:12-24:2; 27:50, 51). Roho Mtakatifu anagusa mioyo ya watoto wake kutoka katika Makanisa yaliyoanguka ili kupokea ukweli wake. (Ufu 3:15-17; 16:9, 11; 18:1-5).
Fanya uamuzi wa kujitenga sasa kutoka katika mifumo ya madhehebu yaliyopotoka madamu Mungu anapataikana na mlango ukingali wazi.

MUNGU akubari.

KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NASI
0756959525,0752164685
Share:

ELIMU YA KWELI


UTANGULIZI:

Elimu ya kweli ni ufunuo wa tabia yake na uwezo wake na kazi ya kuonyesha  kuwa kila kiumbe kimeubwa na Mungu na kutangaza utukufu wake.  ZABURI 19:1- 7, ISAYA  37: 16, 46:5, 44: 6, 46 :9

Kila kiumbe kiliumbwa na yeye mwenyewe malaika mwanadamu ni kazi ya Mungu  AYUBU 38:5 – 7, MWANZO 1: 26 -27

Hivyo  hukanusha masomo ya nadharia za watu, zinazofundishwa kuwa dunia ni kipande kilicho meguka kwenye mwezi, huu ni uongo, Mungu aliumba dunia, na mwezi nyota, jua vyote ni kazi ya Mungu.
MWANZO 1: 1- 5,  14 – 19 , ISAYA 66:2, AYUBU  36:26 .
Hivyo tunakanusha uvumi wa kusema kwamba vitu hivi  vilitokea tu . Pia mwanadamu naye ni kazi ya Mungu aliumbwa hakuna kiumbe kilichotokana na kingine .
MWANZO 2: 7    ZABURI 139: 23 – 25,  8: 3-  9.


Hii ndiyo Elimu ya kweli ya kujua kazi ya  Mungu kama mwanzo wa vitu vyote, na ukuu wake na mamlaka yake ya uumbaji, hata hivyo tuelewe kuwa  mwanadamu aliumbwa na si uibukaji kama wengi wanavyoelewa .

 Ni  mhimu sana kujifunza kuujua mwili wetu na kujua kila kiungo kinavyofanyakazi tena kwa kushirikiana na vingine . Wengi wamekuwa walemavu wa viungo, na  wengine  kufa kwa kutumia viungo vyao vibaya   1 WAKORINTHO  6:12 – 20

 Ni wajibu wa kila mtu, kwa ajili yake mwenyewe, na kwa ajili ya watu wengine, kujua kabisa kanuni zinzohusiana na afya njema, na kuzifuata kwa bidii na uaminifu.  Inawapasa wote kufahamu kabisa umbo hili la ajabu – yaani mwili  wa  mwanadamu.  AFYA NA RAHA   UK 10, 39 – 42.

Uasi  wa sheria za mwili ni uasi wa sheria za maadili kwa maana kwa hakika Mungu ndiye mwanzilishi wa sheria za mwili. Kama alivyo mwanzilishi wa sheria za  maadili. Sheria yake imeandikwa kwa kidole chake na kwa kila mshipa wa fahamu kwa kila  msuli na kwa kila uwezo wa akili na mwili, ambao umewekwa kwa mwanadamu. VIELELEZO VYA MAFUNDISHO YA KRISTO,:   UK 268   KUTOKA  31 : 18

Mvuto wa akili kwa mwili, Pia ule wa mwili kwa akili, zitiliwe makazo. Nguvu ya umeme ya akili ikitiwa nguvu na shughuli za kiakili, hutia nguuvu mfumo wote hivyo huwa msaada wa thamani sana katika kukinga magonjwa. ELIMU YA KWELI   UK 144 -147

 Unapojifunza  jinsi mwili unavyofanya kazi, uzingatiaji makini uelekezwe kwenye uwezo wa kubadilika na jinsi viungo vinavyotegemeana. Kadri moyo wa kupenda kwa mwanafunzi utakavyoamshwa  na kuongozwa na kuona umhimu wa elimu ya kukua na kukomaa kimwili,  mwalimu atafanya mengi kusaidia kukua ipasavyo na mazoea sahihi. Miongoni mwa mambo ambayo yapaswa kulengwa kwanza  lingekuwa hali sahihi katika yote mawili kukaa na kusimama. Mungu alimuumba mwanadamu mnyoofu na anapenda awe siyo tu na yale ya kimwili, bali faida za kiakili na maadili.   ELIMU YA KWELI 145. MHUBIRI  7:29

INI, LIVER NATURAL REMEDIES UK. 357- 58, 361 – 62

  1. Ini ni kiungo muhimu sana ndani ya mwili wa binadamu. Ini hufanya kazi ya kutengeneza protini kuondoa sumu ndani ya damu na kusambaza kiwango cha damu inayohitajika kila sehemu ya viungo vya mwanadamu na kupambana na kinukari za sumu zinazoingizwa mwilini.
Ini seli nyekundu za damu zilizokufa.
Hugeuzwa na ini kuwa pigmenti za nyongo ambazo huipa nyongo rangi yake. Pigmenti hizo huingia kwenye chakula njia ya chakula na baadaye kuchanganyika na kinyesi. Ini pia hupambana na sumu zinazongia mwilini. Simu zinapozidi uwezo wake hulifanya ini kusinyaa, na kushidwa kufanya kazi vizuri na kusababisha makovu. Ini linapokuwa limeathilika namna hiyo, hushindwa kufanya kazi zake za kawaida kama vile kutengeneza (Protein) na kuondoa sumu  ndani ya damu na hivyo husababisha shinikizo la juu la damu ndani ya mishipa ya damu.
  Uvujaji wa damu ndani  kwa ndani kunaweza kutukea na pia mkusanyiko wa maji ndani ya tumbo na tumbo kuvimba.

Vitu vinavyoharibu ini na kulifanya lishindwe kazi vizuri
Ø  Kula chakula kisicho na virutubisho nafaka zilizokobolewa.
Ø  Matumizi ya nyama, kahawa, majani ya chai, pombe, uvutaji wa hewa yenye sumu
Ø  Samaki kwa mtu anayetumia samaki kwa wiki mara 2 huzuia utendaji kazi wa mafuta ya ini
Ø  Kutumia vidonge, sukari, soda, juisi, chakula chenye sumu pia na homa ya njano.    WALAWI 3:4 -11                

               TIBA
Ø  Tumia kwa wingi matunda ya apples
Ø  Celery chukua kijiko kimoja weka kwenye glasi moja ya maji ya moto kunywa 2x2 kwa siku
Ø  Tumia chai ya Rosemery


           ACHA KUTUMIA
Nicotine, alchohol, caffeine, fishi, fowl, meat, salt, soft drinks, sugar foods, lea NK


KIDNEY PROBLEMS – MATATIZO YA FIGO

NATURAL REMEDIES UK 397-398
  1. Figo au mafigo ni viungo vinavyohusika kuchuja maji ndani ya mwili na kuyabala nsi yakae kwenye uwiano ulio sawa. Kiungo hiki (viungo) kina ushirikiano mkubwa sana na kibofu cha mkojo. Mafigo yanaposhindwa kufanya kazi vizuri husababisha matatizo ya kuvimba miguu, kujaa maji sehemu ya malengelenge ya maji sehemu yoyote ya mwili hata yasipotakiwa kuwepo.
Figo ni ogani iliyo nyuma ya fumbatio figo linaumbo la harangwe.
  Kuna fiigo mbili moja upande wa kulia na la pili upande wa kushoto wa uti wa m gongo, kwenye kila
M,WALAWI 8:16
figo kuna mshipa unaingia na kutoa. Ule unatoka huitwa vena ya renali, na ule unaingia huitwa ateri  ya renali. Damu kuingia kwenye figo kupitia ateri za renali figo huchuja damu inayoingia na kuondoa urea, chumvichumvi na maji ya ziada.

 Taka mwili zilizochunjwa na figo husafilishwa kwenda kwenye kibofu kupitia ureta.
Ureta ni mlija utakao kwenye figo hadi kwenye kibofu cha mkojo. Kazi yake ni kupitisha mkojo toka kwenye figo hadi kwenye kibofu, Kibofu cha mkojo ni mfumo unaokusanya mkojo kutoka kwenye figo. Baada ya kibofu kujaa, misuli yake husinyaa na kuusukuma mkojo nje kupitia ureta.
           
                      VYANZO
Ø  Kula chumvi mbichi
Ø  Vinywaji, pombe, soda, juisi
Ø  Kuunga chumvi mbichi kwenye chakula yaani kuongeza chumvi
Ø  Mawe ndani ya mafigo

            TIBA
ACHA KUTUMIA
Soft drinks, caffeine, chocolate, cocoa, pepper, Nuts, nyama, chumvi.

BANDAMA
SPLEEN   NATURAL REMEDIES UK 2102

  1. Bandama ni kiungo muhimu sana kwa mwanadamu pia kuingo aina ya nyama kinachohifadhi damu na kutunza kama alivyo kwa viungo vingine. Kiungo hicho hushirikiana na viungo vingine. Kiungo hiki kikiungua au kupata matatizo ni hatari.
         




















KONGOSHO

4.    Kongosho ni kiungo pia muhimu kwa kutengeneza kiwango cha sukari inayotakiwa mwilini kinapaswa kutunzwa kwa makini sana. Kongosho inapozidiwa na kazi yake husababisha sukari kusambaa mwilini na mtu kupatwa na ugonjwa wa kisukari.
              
  Dalili za kuonyesha kongosho halifanyi ni
Ø Ugonjwa wa kisukari
Ø Kupungua uzito
Ø Kukonda kwa haraka sana
Ø Kukojoa san, mkojo wa mara kwa mara
Ø Mkojo wa sukari sukari

Vyanzo     vikubwa
Juisi za viwandani, soda, chumvi, sukari, nyama, mayai, apple, ndizi, maziwa, sigara, pombe, tikiti maji, na jamii ya vitu vyenye sukari
Mtu anayetumia soda x2 kwa wiki husababisha kansa ya kongosho.

























  1. NYONGO BILE DUCT MFEREJI WA NYONGO GALL BLADER- KIBOFU NYONGO


Nyongo ni kiungo kinachozalisha tindi kali (URIC ACID) inayowekwa kwenye chakula kabla ya kuyeyushwa kama kund wadudu chakula hakiwezi kuyeyushwa kama nyongo haijadondosha, tindi kali kwenye chakula. Viungo hivi hufanya kazi kwa kushirikiana na kila kiungo kwa kazi ya na utaratibu kula kwa wakati usio badilika na moja ya kutunza kiungo hiki na kukifanya kifanye kazi vizuri na kutokula ovyo ovyo.
    Mojawapo ya madhara yanayotokana na kula bila utaratibu. Madonda ya tumbo. Kuchacha kwa chakula tumboni, kuharisha, kutapika, hewa chafu, tumbo kujaa gesi, kukosa hamu ya chakula.































  1. STOMACH – TUMBO MFUKO WA CHAKULA NATURAL REMEDIES UK 355


Tumbo ni kiungo muhimu kwani hupokea chakula kinachotoka mdomoni na kukifinyanga (kuyeyusha) kiungo hiki ni kimeumbwa kwa muundo wa taulo ni muhimu sana kukitunza kiungo hiki kazi yake ni kubwa na nzito. Chakula kinacholiwa hakiwezi kuingia kwenye mfuko wa chakula huanzia kwenye kiungo hicho baada ya kukifinya mpaka kwenye utumbo mpana, madhara waliyonayo watu wengi ni kwa kula vibaya na kunywa vibaya yamekifanya kiungo hiki kuwa dhaifu na mengi ku la bila utaratibu, kula na kunywa maji. Wengi hunywa vinywaji vikali sana kiasi kwamba vinatoboa utumbo na kutokuwa na kiasi katika kula. Iwako 10:23
    Isaya 55:2 (Wak 6:12 – 13, 19- 20
Madhara Taifodi husababisha madonda ya tumbo, mawazo, Amiba aina zote za minyoo kwani hutoboa utumbo na kushiba sana.
Pombe, majani ya chai, sigara, juisi za kemikali na soda unga uliokobolewa na vyakula vya kuangiza nyama zaburi 18:27- 33 zaburi 106:15

Ili kutunza kiungo hiki ni vema kula chakula cha asili na juisi za nanasi, apple, machungwa, papai, embe nk na mboga za majani zaburi 104:13- 15 Ayubu 28:5 Zaburi 136:25, 147:8-9 Ayubu 38:41 













  1. INTESTINE UTUMBO MPANA NA MWEMBAMBA

Utumbo mpana na mwembamba hufanya kazi kwa pamoja kazi kwa pamoja baada chakula kuingia na hutoka kwenye tumbo na kufyonzwa na utumbo mpana hapo hufanyika kazi ya kuchambua vitamini na madini na virutubisho protini inayohitajika mwilini hapo ini linahusika kongosho na kama chakula kina maji kazi ya kuchuja maji na mafigo pia huhusika ubongo huratibu shughuli nzima ya uyeyushaji kwani kwani huamrisha viungo vyote shughuli hii huchukua takiribani masaa 4-6 kulingana na aina ya chakula.

Mucous  membrane -  Kiwamba ute sehemu ya kiwamba cha seli inayozunguka mfereji wa chakula.
Sehemu ya chakula kinacholiwa, humeng’enywa  na kusharabiwa mwilini. Sehemu iliyobaki ambayo ni chakula ambacho hakikumeng’enywa na kusharabiwa mwilini, husafilishwa hadi kwenye utumbo mpana.  Mabaki hayo ambayo yamechanganyika na pigmenti za nyongo hutolewa nje kama kinyesi.
Chakula kilichosharabiwa mwilini huchanganyika  na kemikali kuzalisha nishati. Baadhi ya dutu zinazotokana na mchanganyiko huo hazina manufaa kwa mwili . Dutu hizo huitwa takamwili ambazo ni pamoja na kabonidayoksaidi, kompaundi za natrojeni, maji na pigmenti za ini.
Ogani zitumikazo kutoa taka mwili ni mapafu, figo, ngozi na ini.


Baada ya vitamini, madini, protini na vitu muhimu kuchuliwa na kubaki makapi husafirishwa kwa njia ya utumbo mwembamba (mrefu) hadi kwenye lango la haja kubwa na mtu kujisaidia  Marko 7: 18- 20 kwa muda huu wa masaa 4- 6 mtu hatakiwi kula chochote mpaka baada ya masaa 6  5-6 kula ndani ya masaa haya ni kujiletea magonjwa mengi sana sana.

  1. BLADDER – KIBOFU CHA MKOJO

Kibofu ni kiungo mfano wa bilika kazi yake ni kutunza na kuhifadhi mkojo, maji baada ya kuchujwa vizuri na figo maji taka hupelekwa kwenye kibofu kupitia  milija inayounganisha figo  na kibofu au bilika.
Maji taka yanapofika kwenye birika husafirishwa kwenye mishipa  hadi kwenye,uume, uke kisha maji  hayo humwagika nje, au kutoka nje hutwa  kukojoa, paa hapa kuwa na kiungo kidogo kama mfumo   wa (mashine  engine ) inayosukuma  mkujo kubana  mkojo  kwa muda  mrefu bila kukojoa  huathiri kibofu (birika) na kuuwa mashine ya kusukuma  mkojo otoke nje .Madhara haya huenda  na kuharibu mafigo.
Kutumia vinywaji vikali, juisi, soda, pombe, viroba nk ni kuuwa mashine ya kibofu cha mkojo. Madhara yake ni:-
Ø Kupasuliwa
Ø Kuwekewa mpira wa kukojolea
Ø Kushindikana kabisa
Ø Kifo
Ni vyema kuthamini viungo vyetu kwani ni zawadi tuliyopewa  na Mungu 1WAKORINNTHO  12:12-26
                    
















  1. REPRODUCTIVE: WOMEN  MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE,    NATURAL REMEDIES  UK. 640

  Mfumo wa uzazi wa mwanamke ni moja kati ya viungo muhimu na nyeti, kwa kazi uzalishaji watu au kuzaliana mwanzo 1:28, 4:1.
Huu ni mfumo ambao Mungu aliumba kwa ajili ya kuendeleza uzao wa mwanadamu ili watu wasingie katika swala la kujamiana, kabla ya ndoa. Waebrania 13:4 Mathayo 19:4-6  kwa maneno hayo tendo la ndoa kabla ya kuoa au kuolewa ni kosa la jinai mbele za Mungu katika hili Mungu akataza yafuatayo.

Ø Kuharibu ubikira torati 22:20-21, 17c 4-7
Ø Kufanya tendo kabla kuowa au kuolewa ni dhambi Walawi 21:7 na mume  wake mwenyewe wako 7:1
Ø Wasiingie kwa jamaa wako wa karibu. Walawi 18:6-18 torati 27:20, 22-23
Ø Magomvi na mauji na mafarakano
Ø Usingia kwa mke wa mwingine Walawi 20:10
Ø Masumbufu na majuto
Ø Ndoa jinsia moja ni laana Walawi 18:22
Ø Kulala na kiumbe Walawi 18:23 torati 27:21
Ø Usilale na mwanamke ikiwa kwenye siku zake Walawi 18:19

           Hivyo Mungu alikusudia ndoa iwe baina ya mme na mke.
           Mfumo wa via vya uzazi vya mwanamke ni kama ifuatavyo
Ø Ovari (2) mirija ya falopia, uke ovari hutoa mayai au kuzalisha gamete uke mwanamke ana ovari mbili moja chini ya kila figo Walawi 12:2, 15:19, 25
Ø Mrija wa falopia husafirisha gameti uke kutoka kwenye ovari
Ø Uterasi mji wa mimba ni mahari ambapo kitoto hutunzwa na kukua hadi kuzaliwa.
Ø Seviksi- kilango cha uterasi mlango au misuli mviringo ya seviksi.
Ø Uke – ni sehemu ambayo mtoto hutoke wakati wa kujifungua  na ndipo na mbegu za kiume gamete ume hupitia wakati wa kujamiiana na kutoka nje ya mwili.
   Kuziba kwa husababisha madhara ya kukosa mtoto, siku za hedi maumivu makali kama zikitoka wakati mwingine  damu hutoka kidogokidogo na kuleta maumivu makali sana, wakati mwingine mhusika anaweza kuzimia na kufanya zinaa kinyume na utaratibu. Matatizo mengine ni kama kansa ya kizazi. Baadhi ya vipodozi ni hatari huleta madhara makubwa, kula vibaya, kuvaa vibaya wengi wamepata ugumba (tasa) kwa kujiletea wenyewe au wazazi wao Torati 7:14, 28:18 na mimba kuharibika kutumia dawa za nywele na kilimu ni hatari dawa za nywele huharibu vitamini c sumu kilimu huleta saratani ya ngozi.



                                                                                                             


  1.  REPRODUCTIVE: MEN MFUMO WA  UZAZI WA MWANAUME NATURAL REMEDIES  UK 634

Mfumo wa uzazi wa wanaume ni kuzaliana na kuongeza watu duniani Mungu alimuumba mwanaume na mwanamke mwanzo 1:27 watu huzaliana kwa njia ya kujamiana kwa mwanaume/mke Wakorinntho. Mfumo wa mwanaume

Ø Korodani, korodani hutengeneza na kuhifadhi gamete za kiume, korodani hutengeneza homoni inayosababisha wakati wa kubalehe (korodani) Walawi 212
Ø Mirija ya manii, mirija ya manii  hupitisha gameti za kiume kutoka kwenye korodani kwenda kwenye uume na kutoka nje. Ayubu 10:10 Walawi 15:16-18
Ø Uume, kwenye uume kuna mrija uitwao urethra ambao hupitisha manii















1.     VIUNGO VYA KICHWA   (HEAD  SYSTEM).

1.     UBONGO  NERVOUS SYSTEM 
A.    Colebrum  - ubongo wa mbele                                   
B.    Celebelem – Ubongo wa kati                                     
C.    Medulla Oblangata – Ubongo wa nyuma          






Sikiliza, Ee Israel; Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye nawe  mpende   Bwana Mungu wako, Kwa moyo wako wot, na kwa roho yako, na kwa nguvu zako zote”. K. TORATI  6:4 -5
“Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo maana ndiko zitokako chemichemi za uzima” MITHALI  4:20 -23
Mimi ni Mungu wa Ibrahim, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu sio Mungu wa wafu, bali wa wawaliyo hai” MATHAYO 22:32



A.   Ubongo  wa mbele au ubongo mkubwa. Sehemu hii inahusika na utawara  wa
matendo yote ya hiari hasa yale yanayo husiana na kufikiri, Busara na kumbukumbu. Sehemu hii pia huhusika na kuona, kusikia, kunusa na kuonja.

B.    Ubongo wa kati au ubongo mdogo : Sehemu hii huratibu mijongeo katika mwili, sehemu hiyo ndiyo inayohusika na kuweka mwili uwe katika hali ya msawazo kiumbo.

C.   UBONGO WA NYUMA – MEDULLA OBLANGATA.  
Sehemu hii hutawara matendo yote yasiyo ya hiari katika mwili, kwa mfano, kupumua, mapigo ya moyo, kutanuka na kusinyaa kwa mishipa ya damu na mmeng’enyo  wa chakula katika njia ya chakula .
Sehemu iliyo kubwa, tata na yenye kazi nyingi zaidi ya ubongo mkubwa. Uso wake umekunjamana sifa ambayo huongeza eneo lake.  Uso wa ubongo wa nyuma ndiye sehemu ya chini zaidi ya ubongo na imeunganishwa na ubongo wa kati na ugwe mgongo. Mithali  17:2-22, Mithali 16:23, Mithali 15:13 – 15  Mithali 3:8




2.    MACHO  - EYE.

Jicho hushikiwa kwenye nafasi yake kwa misuli. Misuli hii huuweza kuzungusha mboni ya jicho kwa ajili ya kutazama sehemu mbalimbali. Kuna Neva moja itwayo neva ya Optike inayo unganisha jicho na ubongo sehemu kuu za jicho ni:
Lenzi -  hupanuka na kusinyaa ili kufokasi taswira ya kitu kwenye retina
Retina  - hupeke nuru na kuunda taswira ya kitu
Mboni – Pupili ni shimo katika mboni
Konea  -Ni sehemu ya mbele  inayowezesha kuona miale ya mwanga kupenya

Mucus in eye:Ute ute aina ya kemikali zinto inayoteleza inayotokana na tezi ute yenye kazi ya kulinda tishu za tabaka –nje zisikauke, na pia kuzuia viumbe na maradhi visidhuru jicho.



“Macho yako yatazame mbele, na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.  Ulisawazishe pito la mguu wako, na njia zako zithibitike, usingeuke kwa kuume wala kwa kushoto; ondoa mguu wako maovuni”, MITHALI 4:25-27

“Nilifanya agano na macho yangu; basi nawezaje kumuangalia msichana? AYUBU 31: 1, 16: 9-10, ZABULI 121: 1, 123: 1- 2

Eye  strain  - Uchovu wa macho , Computer eyestrain – ucovu wa kokotoa macho
Mucus in eye – uteute  wa jicho, Yellow eys- macho ya njano, Puffy eyes (Bags undrs eyes) -   mpumuo uhemaji wa mfumo wa macho, Itchy eyes  - Mwasho wa macho, red eyes (Blood shol eyes) macho mekundu au damu kwenye macho
Black eyes – Macho meusi.  NATURALA  REMEDIES  UK 301
                               



3.     PUA

Pua zina seli zenye uwezo kuhisi kemikali .Kuna seli zinazotoa, kamasi ambalo lina unyevu kemikali zinazoyeyeshwa  na unyevu huu hushitua seli hizi na kupeleka taarifa kwenye ubongo. Pia pua huhusika na mfumo wa upumuaji kutoa hewa nje na kuingiza ndani kwa kushirikiana na mapafu na sehemu nyingine zenye matundu .Mwanzo 2:7






4.     ULIMI.
Ulimi unaseli onji ambazo huonja na kuamua kama kiti ni kitamu, kichungu au chenye chachu. Pia ulimi unamsuli unazungusha nma kuufanya uwe na uwezo wa kumuwezesha mtu kutoa matamushi au tamushi .Pia ulimi umo ndani ya mdomo. Mithhali 4: 24, Mithali 6:2  Hata meno Zaburi 37:12.
“Nalisema nitazitunza njia zangu nisije nikakosa kwa ulimi wangu; nitajitia lijamu”..............ZABURI 39:1-3

“Vivyo hivyo ulimi nao ni kiungo kidogo, nao hujivuna majivuno makuu........... YAKOBO 3:5


5.    SIKIO  -EAR.

Sikio ni ogani ya kusikiliza na kusawazisha kuna migawanyo mitatu mikuu.
v Sikio la nje – Sikio la nje hukusanya sauti
v Sikio la kati – Sikio la kati lina hewa na dirisha lenye umbo la yai ambalo huelekea kwenye sikio la ndani .
v Sikio la ndani – Katika sikio la ndani kuna koklea ambayo huhisi sauti itakanayo na mitetemo kwa kutumia neva ya akausteka.
“Mwanangu, sikiliza maneno yangu; tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.... MITHALI 4:20 -24








6.     MENO  .

Meno teeth meno ni viungo pia mhimu kwa ajili ya kazi kutafuna wakati wa kula ni vema kuyatunza meno . Mtahayo  22:13 meno hushikiliwa na misili aina ya miziz, au nyuzinyuzi. Nyuzinyuzi   hizi zinapopata hitirafu mtu hupatwa na tatizo la usafi wa meno ni mhimu kwa ulinzi, na kula  vyakula vyenye virutubisho.
Wengi wanaopatwa na ugonjwa wa meno ni wale, wanatumia, pipi, barafu, au vitu vya baridi  soda, pombe, ugoro, sukari, nyama  maana nyama inapoliwa nyuzi nyuzi za nyama  hepenya nyufa za maunganishio ya meno, wengi huchokonoa kwa njiti, au mti vyote  hivi  ni vyanzo vya matatizo ya meno

“Amenilalua katika gharabu zake,na kunionea; amesaga-saga meno juu yangu;   AYUBU 16: 9, 5-8 


  1. MFUMO WA KIFUA.

a.     MOYO  - Unafanya kazi ya kusukuma damu au kupampu. Na damu kuzunguka mwilini, kazi ya  moyo ni ya mhimu maana kiungo hiki ni cha thamani kwa maana katika viungo hiki ndicho kiungo kisicho pumzika kinafanya kazi  tangu kuumbwa kwa mtu  hadi kifo ni yetu kukitunza . Pia unamishipa midogo ya kusafilisha damu pia moyo unapampu mbili.

1.    Upande  wa juu – Pampu hii inasukuma damu kwenda juu kwa kushirikiana na mapafu kunyumbua
2.    Nyingine upande wa chini-  Hii pampu hizi zinapo shindwa kufanyakazi magonjwa ya presha ya kupanda – kushuka kutumia vyakula vyenye vichocheo huleta kiherehere cha moyo, moyo kupanuka, mafuta kwenye mishipa ya damu ya moyo. Moyo kushindwa kufanya kazi, acha kutumia singira, sukari za viwandani, na juisi chumvi bichi, nyama, samaki pombe, mavazi ya  kubana mwili, viatu vyenye kisingino kilefu sana, sembe, ngano iliyokobolewa, na isiyo ya asili.

“Maana wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu, ........ Zaburi 139:13
Presha ya juu, Presha ya chini, Kupanuka kwa moyo, Kusinyaa kwa mshipa ya moyo, Mafuta kwenye mshipa ya moyo, Kiherehere cha moyo, Kuziba kwa pampu ya juu ya moyo, Kuziba kwa pampu ya chini ya moyo.
b.    MAPAFU.

Mapafu hufanya kazi ya kuchunja hewa na mapafu kunyumbuka. Kazi ya kuondoa hewa chafu, na kuunda mfumo kwenye mfumo wa hewa safi.  Na kuondoa uchafu kwenye mfumo hewa, mavumbi, moshi, na mazingira yenye hewa chafu n.k
Inashirikiana na sehemu zenye matundu ya mwili, na mfumo wa ngozi. Pia mapafu yana mishipa aina ya tawi na mfumo wa nyuzi nyuzi. Mapafu yanaposhindwa kufanyakazi mtu hupata tatizo la kupumua kwa shida na kufanya kazi ya moyo  kuwa ya shida  sana Huduma ya uponyaji uk 165.

Kukohowa, Madonda kooni kuziba kwa mirija ya mapafu. Ni vema mtu kukaa mahali penye hewa safi na kujenga nyumba zenye madirisha ya kuingiza, hewa, na mwanga wa jua. Kutumia sigara majani ya chai, kahawa ni hatari sana, na kutumia aina ya vinywaji vikari vyakula vyenye vichocheo ni hatari pia.  Habakuki 2:15- 16,   Isaya  5:11- 12 .                             

kwa mfano magonjwa 
1.    Saratani ya mapafu,   
2.    Athima  (Pumu)
3.    Kupumua vibaya
4.    Kuvimba mishipa
5.    Madonda kooni

Pia kuvaa nguo za kubana kifua husababisha tatizo la moyo, Kutayarisha   
    1. KIWAMBA MOYO DIAPHRAGM

Kiungo hiki huunganika na vena cava kwa umbo la mfano wa misitari ya mikononi kiungo hiki na viungo  vingine huninginia kwneye kiungo, kama vile moyo, mapafu, mafingo kwenye  kiungo hiki  huanganisha mishipa yote mikubwa inayosfili kwenye vidole vya mikono na minguu. Huungana sup, vena cava. Na inf  vena cava. Na renal inayounganisha figo ya kulia  na vena cava na upande wa kushoto .

           
                             
  
  1. MFUMO WA MIFUPA NA VIUNGO VINGINE KWA UJUMLA .BASIC ANATOMY.

Huu ni mfumo unajumuisha  mbavu, mapaja miguu, mikono, mafuvu, vibandiko vya aina ya parastiki, vinavyofunga kama vile mabega, sehemu za siri, kwa jinsia zote.
Mungu alimumba mwadamu kwa ustadi  mwanadamu ni kazi ya Mungu. Zaburi 100:3, Ayubu 10:8 -9, Isaya 45: 9 -10, Ezekiel 37: 4- 9.
Skull – Fuvu la kichwa
Spine – Uti wa mgongo
Humenus – Mfupa kubwa utakao begani hadi kwenye mkono

Nyonga

Tezi za ovari ziko katika  nyonga ya mwanamke ziko tezi mbili za ovari.


Paji la uso.

Uso ni sehemu ya paji likionyesha muonekano wa mtu.
1.    Kama mtu amekasilika au kuwaza uso hukunjamana kuonyesha hari ya mtu isiyo ya kawaida, mwanzo  4......hasira gadhabu, mithali 15:18 .
2.    Uso wa  mtu mwenye muunekano wa faraja huu ndio uso wenye afya mithali 15:13, Mithali 14:30, Mithali 15:30 

EMASON KEFASON
PHONE NUMBER:0756959525 0756959525,0752164685
Share:

Popular Posts

Lebo

Recent Posts

Pages