Katika blogu hii, tutachunguza njia mbalimbali za kuimarisha ufahamu wetu wa Biblia. Tutajadili mbinu za kusoma Biblia kwa ufanisi, vidokezo vya kukariri maandiko matakatifu, na mikakati ya kutumia somo la Biblia katika maisha yetu ya kila siku. Iwe wewe ni mtaalam wa Biblia mzoefu au unaanza tu safari yako ya imani, "Jifunze Biblia Zaidi" ni rasilimali kamili ya kukusaidia kuongeza ufahamu wako wa Maandiko Matakatifu na kumkaribia Mungu zaidi.

NANI NA NINI NI BABELI


NANI NA NINI NI BABELI KUTOKA
KATIKA USHUHUDA WA YESU


“Dini zote za uwongo zina chanzo chake katika upotoshaji wa ukweli.” Signs of the Times,
Aprili 29, 1897.

NI NINI ISHARA YA BABELI KWA LEO?
1. Ishara ya kahaba (Kanisa)--GC 382; 4SP 233.
2. Ishara ya mwanamke najisi (Kanisa)--GC 381; 4SP 233.
3. Ishara ya Kanisa lililoasi--COL 179; GC 381; 4SP 233; PP 167.
4. Ishara ya Kanisa lolote ambalo linashikilia mafundisho ya Roma--GC 382; 4SP 233.
5. Ishara ya Kanisa lolote ambalo linashikilia mapokeo ya Roma--GC 382; 4SP 233.
6. Ishara ya Makanisa mbalimbali yanayoshikilia mafundisho ya uongo--Ev 365; RH 9-12-93.
7. Ishara ya ulimwengu--YI 10-25-94; ST 12-29-90.
8. Ishara ya Makanisa yale ambayo mwanzoni yalikuwa safi lakini yamekuwa potofu--GC 382; PP
167.
9. Ishara ya madhehebu yale yanayoanguka kutoka kwa Mungu--Ev 365; TM 61; RH 9-12-93.
10. Ishara ya madhehebu yale ambayo yanaanguka kutoka kwenye ukweli wote--Ev 365; TM 61; RH
9-12-93.
11. Ishara ya Makanisa yanayopenda ulimwengu katika siku za mwisho--PP 124.

NI MAJINA GANI MENGINE KWA AJILI YA BABELI ?
1. Ngome (jengo lililofungwa) ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza--TDG 172; RH 11-08-56;
1MR 353 (angalia TM 265; RH 2-26-95).
2. Pango la wanyanganyi--TDG 172; RH 11-08-56; 1MR 353.
3. Kahaba--TDG 172; RH 11-08-56; 1MR 353 (see 8T 250).
4. Maskani ya mashetani--TDG 172; RH 11-08-56; 1MR 353.
5. Sinagogi la adui (Shetani)--RH 3-16-97.

NI SIFA GANI ZA BABELI ?
(KUMBUKA: Kanisa SIYO lazima liwe na sifa hizi zote
Kabla halijawa Babeli.)

1. Ngome (jengo lililojengwa)--TDG 172; RH 11-8-1956; 1MR 353.
2. Pango la wanyang’anyi--TDG 172; RH 11-8-1956; 1MR 353.
3. Kahaba--NL 52; TDG 172; RH 11-8-1956; 1MR 353
4. Mamlaka itesayo--TM 117; Ev 197; 7BC 980.
5. Nguvu ya uovu--YI 2-2-04.
6. Machukizo ndani--4SP 357; ST 11-14-95; RH 4-15-90.
7. Hukubali ushauri wa Shetani--ST 9-2-97.
8. Hukubali mafundisho ya uongo--4SP 357; GC 536-37.
9. Hukubali uzushi--4SP 357.
10. Hukubali uongo--1MR 302, 361; 2SM 68.
11. Hukubali mafundisho ya umizimu--GC 603; 4SP 422.
12. Huwashtaki wasio na hatia kuwa na makosa--RH 5-3-92.
13. Huwashtaki watu wa Mungu kwa aina zote za makosa ya jinai--TM 37; RH 8-22-93.
14. Humkiri Yesu lakini hatimaye humsaliti--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
15. Huwasumbua wale wasiomtumikia Mungu kulingana na mipango yake--YI 11-22-94.
16. Hukubaliana kwa karibu pamoja na ulimwengu--4SP 239; GC 390.
17. Hushikamana pamoja na Makafiri [Mataifa]--GC 382; NL 52.
18. Humruhusu Shetani kufanya kazi kupitia kwao--YI 2-2-04.
19. Hutamanishwa kwa misukumo ya binafsi--MYP 242; YI 7-9-03.
20. Mamlaka iliyoasi--GC 59.
21. Hubatilisha sheria ya Mungu--ST 11-14-95.
22. Mpinga Ukristo--14MR 95.
23. Huasi dhidi ya Mungu--ST 11-14-95.
24. Uasi ndani--PP 167; BE 2-1-97; RH 3-16-97.
25. Huwatukuza watu kama miungu--RH 2-1-81.
26. Huweka utukufu wa ufalme kwa mafanikio ya mwanadamu --PK 501; CC 250.
27. Huweka heshima ya ufalme kwa mafanikio ya mwanadamu--RH 2-6-1900.
28. Huweka ufanisi juu ya mafanikio ya mwanadamu--YI 9-22-03; 4BC 1168.
29. Madai huchukuliwa kama ukweli--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
30. Huvutia katika kujinufaisha binafsi--18MR 260.
31. Uovu wa kutisha ndani unafunikwa kwa kukiri dini--GC 603.
32. Huwa na hasira wakati utashi usipopewa utii--ST 4-29-97.
33. Hupotoka kwa kutafuta kuungwa mkono na mamlaka za ulimwengu--NL 52.
34. Hujazwa na hasira pindi mamlaka yakipingwa--GC 607.
35. Huamini uongo--GC 390; Mar 173; 4SP 239.
36. Huamini uzushi--GC 536.
37. Hawaamini ukweli--4SP 239; GC 390; Mar 173.
38. Humkufuru Mungu wa mbinguni--13MR 66; YI 12-13-04.
39. Hufanya amri za Mungu kudharauliwa--GC 237.
40. Hujenga maskani makubwa na yanayofika juu--COL 259.
41. Hujenga majengo ya fahari sana--Ed 54.
42. Hujenga sana--PK 515.
43. Huunda Kanuni--PP 124.
44. Huondoa maamuzi ya Mungu--UL 35.
45. Huteka mataifa yote yanayowazunguka--PK 443.
46. Mioyo yenye tamaa za mwili--GC 603.
47. Huonyesha dhihaka kwa wafuasi wa Mungu--1SG 153.
48. Husababisha kilio kwa watu wa Mungu--COL 179.
49. Husababisha watu wa Mungu kumwaga machozi--COL 179.
50. Husababisha dhiki kuu kwa watu wa Mungu--TM 37; RH 8-22-93.
51. Husababisha maumivu kwa miili ya watu wa Mungu--COL 179.
52. Husababisha maumivu kwa roho za watu wa Mungu--COL 179.
53. Husababisha mwendelezo wa kutupilia mbali kanuni za pekee za Mungu--GC 65.
54. Desturi za ibada huabudiwa badala ya Kristo--GCDB 3-7-99.
55. Mamlaka ya serikali hulazimisha taratibu za kidini--Ev 43; 4SP 424; GC 606.
56. Hudai kuwa bikira--Ed 176.
57. Hudai kuwa Wakristo--COL 179.
58. Huamuru utii kwa utashi wa mwanadamu--SL 37.
59. Huamuru kuwaabudu watu badala ya Mungu--2SM 312.
60. Hufanya uasherati kiroho--14MR 159.
61. Hulazimisha dhamiri--RH 4-15-90.
62. Hulazimisha utii--7BC 976; ST 5-6-97.
63. Hulazimisha kutii sheria za wanadamu badala ya sheria za Mungu--ST 9-2-97.
64. Hufanya makubaliano ya imani za kidini--16MR 336.
65. Hufanya makubaliano pamoja na njia za Shetani--YI 10-25-94.
66. Husitiri uovu wa kutisha chini ya vazi la dini ya kujionyesha--GC 603.
67. Hufanya mapatano pamoja na wafalme na watu wakuu wa nchi--TDG 172; RH 11-8-1956; 1MR
353.
68. Hufanana sawa na roho ya ulimwengu--GC 389.
69. Huchanganya njia za Mungu kwa mavumbuzi ya mwanadamu--ST 5-13-97.
70. Machafuko--2SG 289; RH 9-19-54; 3-28-93; 4SP 232; GC 383; CG 540.
71. Machafuko hutawala ndani yake--3SM 257.
72. Imeshikamana pamoja na wanyama--RH 4-30-89.
73. Imeshikamana pamoja na hesabu ya 666--PK 506.
74. Hushikamana pamoja na watu wakuu wa nchi--GC 388.
75. Huona kuwa ni furaha kutesa watu wa Mungu--CC 251.
76. Huona kuwa ni furaha kuhuzunisha watu wa Mungu--CC 251.
77. Huwapeleka watu wa Mungu uhamishoni--COL 179.
78. Huwatia watu wa Mungu katika mauti--COL 179.
79. Huwatoa watu wa Mungu kwenda kifungoni--COL 179.
80. Huvutwa katika mwegemeo--YI 10-25-94.
81. Hutawaliwa na tamaa isiyo takatifu--YI 11-27-94.
82. Uovu ndani--EW 277; FLB 335; GC 603.
83. Huwanajisi wengine kwa mafundisho ya uongo--GC 388.
84. Hubadilisha ukweli pamoja na uongo--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
85. Hutamani mke wa jirani--TSB 188.
86. Hupinga mausia ya amri kumi za Mungu--ST 11-14-95.
87. Mkandamizaji katili--Ed 176.
88. Huwakandamiza kikatili ndugu zao--EW 275; 1SG 192.
89. Huondoa utauwa--18MR 260.
90. Mioyo ya giza--GC 603.
91. Giza ndani--MB 41.
92. Uovu wa kudanganya ndani--7BC 983.
93. Hupungua katika utakatifu--Mar 171.
94. Humdhihaki Mungu--Series A#1b, ukr. 16; 2MR 228; 3SM 406; YI 12-13-04; 13MR 66.
95. Hudhihaki maonyo ya Mungu--4SP 421; GC 603.
96. Huwalaghai maskini--COL 178.
97. Hutaka mambo yasiyowezekana kwa watu kufanya--YI 11-27-94.
98. Hushutumu ujumbe wa Ufunuo 18 kama wa Shetani--GC 607; 4SP 424.
99. Hushutumu mafundisho ya kweli kama uzushi--4SP 235; GC 389.
100. Hushutumu ukweli kama ujumbe wa Shetani--GC 607.
101. Huondoka kutoka kwa Mungu--NL 52; GC 239.
102. Huondoka kutoka katika sheria za Mungu--ST 11-14-95.
103. Huondoka kwa upana kutoka katika ukweli--4SP 239.
104. Upotovu ndani--RH 1-2-79.
105. Huwanyima watu nuru ya neno la Mungu--PK 714.
106. Huwadhihaki wafuasi wa Mungu--1SG 153.
107. Huwadhihaki wale wanaofanya kazi aliyoipanga Mungu--COL 179.
108. Huwadhihaki wale walio katikati yao ambao wanashikilia ukweli wa Mungu--1SG 146.
109. Hutafuta kufanya urafiki na wasio watauwa--GC 382.
110. Hutamani kuimarisha nguvu zao wenyewe--PK 505.
111. Hutafuta kuimarisha ukuu wake yenyewe--PK 505.
112. Hutamani kuiga mazoea ya wasio watauwa--GC 382.
113. Hupanga kuwaongoza wote kuabudu sanamu ya ubinafsi--ST 4-29-97.
114. Humtukana Mungu--RH 4-15-90.
115. Hutukana maonyo kutoka kwa Mungu--4BC 1158; RH 3-14-07.
116. Huharibu wale ambao hawamtumikii Mungu kulingana na mipango yao--YI 11-22-94.
117. Hutumia muda mwingi kwa kunung’unika--4MR 125.
118. Kutokuwa na utaratibu ndani yake--3SM 257; 2SG 289; RH 9-19-54; 3-28-93.
119. Kutozingatia neno la Mungu--YI 5-14-03.
120. Kutotilia maanani matengenezo ya afya--SD 174.
121. Hudharau nuru iliyotumwa kutoka mbinguni--11MR 99.
122. Hudharau Sabato--7BC 979.
123. Hupotosha neno la Mungu--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
124. Kukosa umoja kati yao wenyewe--PP 124.
125. Hugawanya neno la Mungu--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
126. Wametalikiwa kutoka kwa Mungu--14MR 159.
127. Mafundisho ya mashetani ndani yake--4SP 422.
128. Hawaachi dhambi kwa haki--YI 11-9-93.
129. Hawatubu dhambi--RH 2-6-1900.
130. Hawatimizi makusudi ya Mungu--YI 9-29-03; PK 535.
131. Hawaimbi sifa za Mungu--RH 6-18-89.
132. Hawashikilii ukweli--2SM 63.
133. Hawana Kristo kama kiini chao--BTS 12-01-12.
134. Hawana Kristo kama msingi wao--PK 548.
135. Hawana Mungu (kanuni zake, makusudi, na tabia) kama msingi wao--Ed 183; FLB 345.
136. Hawana uwepo wa Mungu ndani yao--CG 540.
137. Hawana nuru ya kinara katikati yao (kinara kimeondolewa)--PK 430-31.
138. Hawana umoja ambao Kristo aliuomba--4SP 233.
139. Hawana sauti ya bi-harusi (Kanisa la kweli) katikati yao tena--PK 430-31.
140. Hawana sauti ya Bwana harusi katikati yao tena--PK 430-31.
141. Hawafuati ujumbe uliotumwa kutoka mbinguni--RH 9-8-96.
142. Hawafuati maonyo kutoka kwa Mungu--RH 6-9-91.
143. Hawanyenyekezi moyo--RH 2-6-1900.
144. Hawatunzi amri za Mungu--2SM 68.
145. Hawalindi kanuni za Mungu bila kunajisiwa kutoka katika mivuto ya mataifa mengine--YI 5-4-03.
146. Hawafuati maelekezo ya Mungu--11MR 99.
147. Hawafaidiki na maonyo kutoka kwa Mungu--YI 3-28-05.
148. Hawapokei maelekezo ya Mungu--11MR 99.
149. Hawapokei nuru ya ujumbe wa malaika wa kwanza--1SG 140.
150. Hawapokei ujumbe wa maonyo uliotolewa katika ujumbe wa malaika wa kwanza, wa pili, na wa
tatu--2SM 68.
151. Hawajihesabu wenyewe kama wanaomtegemea Mungu--YI 9-29-03.
152. Hawakumbuki maonyo--PK 533.
153. Hawaonyeshi rehema kwa maskini--YI 11-9-93.
154. Hawasalimishi damu za watakatifu--14MR 288.
155. Hawatilii maanani maonyo--PK 533.
156. Hawaelewi ni nini humaanisha uhuru wa dini--ST 5-13-97.
157. Hufanya vitu hasa ambavyo Mungu aliamuru kutofanywa--8T 126.
158. Hunywa kileo kikali--YI 10-25-94; SD 174.
159. Ulevi na ulafi--3T 162; CD 147.
160. Hukaa kizembe--PK 534.
161. Hula vyakula vya anasa kama chakula--SD 174; YI 10-25-94.
162. Huboresha ishara za nguvu--7BC 983.
163. Huweka sheria kutawala dhamiri--3SM 392; 7BC 949.
164. Hupanga kwa hadaa kuwaongoza wengine katika makosa--YI 9-6-1900; 4MR 127.
165. Maadui wa Mungu--21MR 284.
166. Maadui wa ukweli--21MR 284.
167. Hulazimisha ibada ya sanamu--5T 453; RH 12-11-88.
168. Hujishughulisha na kalamu--ST 12-29-90.
169. Hujishughulisha na kula na ulevi--ST 12-29-90.
170. Hujishughulisha na shamra shamra za kiulimwengu--SD 174; YI 10-25-94.
171. Huhadaa ili kuingia katika kujitukuza binafsi--RH 5-7-89.
172. Imezama katika ugumu wa kutoamini--GC 603.
173. Wivu--OHC 357; RH 5-3-92.
174. Makosa yanaruhusiwa kuchukua nafasi ya ukweli--21MR 284.
175. Uovu ndani yake--4SP 236.
176. Huinua dini ya uongo--ST 5-6-97.
177. Huinua sababto ya uongo juu ya Sabato ya kweli--2SM 68.
178. Huinua siku ya kwanza juu ya Sabato--Ev 365; TM 61; RH 9-12-93.
179. Huinua hekima ya mwanadamu juu ya hekima ya Mungu--PP 124.
180. Humwinua mwanadamu juu ya Mungu--Series A#1b, ukr. 16; 2MR 228; RH 4-15-90.
181. Huinua utukufu wake yenyewe--RH 2-1-81.
182. Huinua hukumu yake yenyewe kama ya maana zaidi--Series B#7, ukr. 20.
183. Huinua njia zake yenyewe kama kuu--Series B#7, ukr. 20.
184. Huinua ubinafsi--YI 2-2-04.
185. Huinua sabato ya uongo juu ya Sabato ya kweli--2SM 68.
186. Huamsha kwa ghafla uadui dhidi ya wafuasi wa Mungu--ST 9-2-97.
187. Hudhihirisha sifa za kishetani kitabia--ST 5-13-97.
188. Hueleza mashauri ya mashetani--2MR 209.
189. Hufafanua mafundisho ya mashetani--2MR 209.
190. Hueleza mivuto ya mashetani--2MR 209.
191. Kuandamanisha mambo ya nje--7BC 980; 14MR 152.
192. Huhimidi ubinafsi--RH 4-30-89.
193. Walishindwa kutimiza kusudi la Mungu kwa ajili yao--YI 5-14-03.
194. Hushindwa kufanya sehemu kubwa ya nuru ya sasa--ST 7-27-91.
195. Hushindwa kutumia fursa nyingi zilizopo kujua ukweli--ST 7-27-91.
196. Husahau kukumbuka Nguvu ambayo kwanza iliwainua--Ed 175.
197. Imani imepotoshwa--GC 388.
198. Huanguka ghafla--PK 552.
199. Hugeuza kwa uongo maneno ya maonyo--19MR 122.
200. Huogopa kuwakwaza watu wakuu--YI 10-25-94.
201. Huogopa kuwakwaza waheshimiwa wa ulimwengu--SD 174.
202. Huogopa kuwakwaza matajiri--YI 10-25-94; SD 174.
203. Kwanza hujaribu kuvutia (muziki na kujionyesha kwa nje) ili kusababisha kutomtii Mungu--ST 9-
2-97.
204. Hufuata desturi za ulimwengu--YI 10-25-94.
205. Hufuata mavumbuzi ya mwanadamu--13MR 61.
206. Hufuata mambo ya kufikirika ya moyo wa asili--YI 10-11-04.
207. Hufuata maoni ya wanadamu--ST 11-14-95.
208. Hufuata mipangilio yao wenyewe--1888 Materials, ukr. 1397.
209. Hufuata misisimko yao wenyewe--1888 Materials, ukr. 1397.
210. Imepumbazwa--PK 522, 530.
211. Hukataza kumwabudu mungu yeyote isipokuwa mwanadamu--RH 12-11-88.
212. Hukataza kuhubiri juu ya kuja haraka kwa Kristo--1SG 153.
213. Nguvu inatumiwa kama hatua ya mwisho kusababisha kutokuwa na utii kwa Mungu--ST 9-2-97.
214. Huwalazimisha watu kukubali sabato ya uongo--8T 94.
215. Humsahau Mungu--YI 11-9-93; 4BC 1168.
216. Husahau kwamba uwezo wote unatoka kwa Mungu--RH 6-9-91.
217. Hufanya makubaliano na uovu--LDE 136.
218. Hufanya makubaliano kumwinua mwanadamu mahali pa Mungu--ST 9-2-97.
219. Huunda sheria ambazo moja kwa moja hupinga sheria za Mungu--ST 5-13-97.
220. Hufanya mipango kuwafanya watu wa Mungu wajiunge katika ibada ya sanamu--YI 4-7-08.
221. Huhamasisha ukahaba ndani ya wengine--GC 382; 4SP 233.
222. Huhamasisha mafundisho yenye sumu--Ev 365; TM 61; RH 9-12-93; NL 52.
223. Utapeli--2MR 209; 3SM 429.
224. Urafiki pamoja na ulimwengu--4SP 235.
225. Imejawa na machukizo--7BC 983; GC 537.
226. Imejawa na mivuto ya hadaa--BE 1-15-93.
227. Imejawa machafuko kwa sababu ya mvinyo--ST 11-14-95.
228. Imejawa na mapotofu--1SG 193; TMK 247.
229. Imejawa na desturi ambazo haziendani na utaratibu wa Mungu--BE 1-15-93.
230. Imejawa na imani potofu--7BC 983.
231. Imejawa na manabii wa uongo--RH 3-14-07.
232. Imejawa na mazoea ambayo hayaendani na utaratibu wa Mungu--BE 1-15-93.
233. Imejawa na vitabu vya ibada ya sanamu--BE 7-2-1900; GCB 4-2-01.
234. Imejawa na mazoea ya ibada ya sanamu--BE 7-2-1900; GCB 4-2-01.
235. Imejawa na mivuto ya kuharibu fikra--BE 1-15-93.
236. Imejawa na mivuto ya kupotosha mambo ya kiroho--BE 1-15-93.
237. Imejawa anasa--BE 1-15-93.
238. Imejawa na vinavyoonekana ambavyo huhadaa kuelekea kwenye vishawishi--TMK 247.
239. Imejawa na dhambi--GC 606; Ev 700.
240. Imejawa na sauti ambazo huhadaa katika majaribu--TMK 247.
241. Imejawa majaribu ya kudhoofisha fikra--BE 1-15-93.
242. Imejawa na majaribu ili kupotosha mambo ya kiroho--BE 1-15-93.
243. Imejawa na majaribu ndani yake--BE 1-15-93; YI 10-5-99.
244. Imejawa na vitu vya kupima--BE 1-15-93.
245. Hasira inadhihirishwa dhidi ya wale wanaodhihaki amri [zake]--ST 9-2-97.
246. Hukusanya pamoja hazina kwa ajili ya ubinafsi mzuri--COL 259.
247. Huwadaka wengine kutenda kinyume na shauri la Mungu--PK 442.
248. Huwachukua wengine kupunguza maneno ya unabii wa kweli--PK 442.
249. Wamejitoa kwa ulafi--YI 8-17-99; CD 147; 3T 162.
250. Wamejitoa kwa ibada ya sanamu--UL 83.
251. Wamejitoa kwa mizaha--PK 523.
252. Wamejitoa kwa kutafuta anasa--PK 534; RH 4-30-89.
253. Wamejitoa kwa ulevi--PK 523.
254. Wamejitoa kwa maisha ya anasa--YI 10-11-04.
255. Wamejitoa kwa maisha ya kujitukuza binafsi--YI 10-11-04.
256. Hutoa usikivu zaidi kwa mambo ambayo husisimua masikio--ST 7-27-91.
257. Hutoa usikivu zaidi kwa mambo ambayo yanashibisha radha ya mdomo--ST 7-27-91.
258. Hutoa usikivu zaidi kwa mambo ambayo yanafurahisha jicho--ST 7-27-91.
259. Hutoa sifa kwa watu--RH 6-9-91.
260. Hujitukuza katika nguvu--PK 522.
261. Hujitukuza katika mafanikio--RH 4-30-89.
262. Hutukuza ubinafsi--RH 4-30-89, 6-18-89.
263. Huenda katika nguvu zao wenyewe bila kujali maonyo--RH 2-6-1900.
264. Hujionyesha kwa kuvutia--7BC 983.
265. Hushibisha hamu ya chakula--RH 5-7-89.
266. Hushibisha tamaa--RH 5-7-89.
267. Hujionyesha sana kwa nje--7BC 983.
268. Hali za kiroho zisizovutia ndani yake--4T 13.
269. Makao ya mashetani--TDG 172; RH 11-8-1956; 1MR 353.
270. Huwatesa watu wa Mungu--TM 37; RH 8-22-93.
271. Mateso kwa wale wote ambao hawawatii--7BC 983.
272. Wana nguvu ya usihiri--ST 11-14-95.
273. Wana Kanuni--GC 383.
274. Wana mfano wa utauwa--EW 273.
275. Wana moyo wa majivuno--RH 4-30-89.
276. Wana ibada mbaya sana ya sanamu ndani--TMK 247.
277. Wamekuwa katika uasi kwa miaka mingi--GC 65.
278. Wamekuwa gizani kwa miaka--GC 65.
279. Wana tamaa ya makuu isiyo na mipaka--5T 752.
280. Huitaka mamlaka ya kiserikali kulazimisha kufuata mambo yake--GC 606; Ev 700.
281. Wana imani iliyopotoka--4SP 235.
282. Wana upotofu ndani yake--YI 10-25-94; PP 167.
283. Wana mafundisho ya mashetani ndani yake--GC 604.
284. Wana miungu ya uongo--YI 10-29-07.
285. Wana wachungaji wa uongo ndani yake--LDE 248.
286. Wana walimu wa uongo ndani yake--PK 442.
287. Wana malango ya shaba--PK 523.
288. Wana ukweli mkuu waliopewa na Mungu lakini hawaufuati--FCE 411.
289. Ina mambo kidogo ya kiroho--4SP 232.
290. Ina nyua za anasa--MYP 242; Ed 54.
291. Ina kuta kubwa--PK 523.
292. Ina wachawi wengi--PK 534.
293. Haina utauwa wa kweli--EW 273.
294. Ina nguvu za kipapa ndani yake--Ev 43; GC 606; 4SP 424.
295. Ina furaha katika mambo yasiyo ya haki--4SP 239; GC 390; Mar 173.
296. Ina mashule kwa ajili ya kuelimisha katika njia za Babeli--MYP 147.
297. Ina roho zidanganyazo ndani yake--GC 603.
298. Huwachukia wale ambao wanaamini ukweli usionajisiwa--4SP 70.
299. Huwachukia wale ambao wanaondoka kutoka katika uovu--ST 5-13-97.
300. Makao makuu yamepewa mvuto ili kuyafanya mazuri na ya kuvutia--PK 515.
301. Moyo mgumu kama chuma cha pua--ST 5-13-97.
302. Moyo umeinuka kinyume cha Mungu--PK 522.
303. Mioyo imepoteza mivuto ya Roho Mtakatifu--13MR 62.
304. Mioyo haijabadilishwa kikamilifu na neema ya Mungu--13MR 62.
305. Wachungaji wake ni mbwa mwitu kati ya kondoo--GC 237.
306. Uzushi unahubiriwa kutoka katika mimbari--GC 390.
307. Huzuia makusudi ya Mungu--YI 2-2-04.
308. Huwashikilia watu wa Mungu na Kanisa katika kifungo--PK 714.
309. Huwashikilia watu wa Mungu na Kanisa mateka--PK 714-15.
310. Huwashikilia wanadamu katika utumwa--EW 275.
311. Huwashikilia watu katika utumwa--1SG 192.
312. Hung’ang’ania giza--PK 714.
313. Hushikilia mafundisho ya makahaba wengine (Roma)--GC 382; 4SP 233.
314. Hushikilia makosa--PK 714.
315. Hushikilia mafundisho ya uongo--Ev 365; TM 61; RH 9-12-93.
316. Hushikilia imani za uchawi--PK 714.
317. Hushikilia mapokeo ya makahaba wengine (Roma)--GC 382; 4SP 233.
318. Huheshimu nadharia za watu juu ya neno la Mungu--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
319. Huheshimu mawazo ya watu juu ya neno Mungu--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
320. Huheshimu ubinafsi--YI 11-9-93.
321. Huumiza wale ambao ni wapenzi wa Mungu--ST 5-13-97.
322. Hujitapa kwa unafiki--RH 1-2-79.
323. Sura ya Kristo haiko ndani--4SP 239.
324. Wako huru kutoka kwa Mungu--CC 250; PK 501.
325. Kukosa tofauti kulikodhihirishwa kwa mambo ya nyuma--PK 523.
326. Kukosa tofauti kwa kweli za kupima kutoka wakati huu--GC 389.
327. Huendekeza hamu ya chakula--TSDF 155; YI 10-25-94; RH 5-7-89; BE 1-15-93; CD 147.
328. Huendekeza mashtaka ya uongo--COL 179.
329. Huendekeza furaha--ST 12-29-90.
330. Huendekeza mazoea ambayo huleta udhaifu kwa nguvu za kimwili--YI 10-25-94.
331. Huendekeza chuki ya kishetani--COL 178.
332. Huendekeza tamaa--CD 147; TSDF 155.
333. Huendekeza ubinafsi--BE 4-25-98; YI 5-19-98.
334. Wasioamini--GC 603.
335. Husababisha mateso makali yasiyo ya kibinadamu--EW 275.
336. Mvuto wa malaika waovu ndani--GC 604; 4SP 422.
337. Uovu unakaa ndani yake--2MR 209.
338. Tamaa kubwa zisizo za kawaida--13MR 63.
339. Watafutaji wa ukweli huelekezwa kwa makosa--4SP 235; GC 389.
340. Huingilia mahitaji ya Mungu kwa ajili ya watu wake--GC 237.
341. Kutokuwa na uvumilivu kulidhihirishwa dhidi ya wale ambao wanatafuta kutembea katika ukweli-
-ST 5-13-97.
342. Upotofu wa ndani--7BC 983.
343. Ni dini ya uongo--GC 381; 4SP 232.
344. Ni mshindani mkuu kivita--HS 210.
345. Ni kahaba--GC 382; 4SP 233.
346. Ni watu wakaidi--PK 444.
347. Ni mwonezi--RH 2-1-81.
348. Ni mjane lakini hasemi hivyo--PK 534.
349. Ni mwanamke (Kanisa)--GC 381-82; 4SP 233; Mar 189.
350. Ni mwanamke kahaba (Kanisa)--4SP 233; GC 381.
351. Iko kinyume na uhuru wa kidini--LDE 136.
352. Ni dini iliyoasi--4SP 232; GC 381.
353. Ni mwanamke aliyeasi (Kanisa)--GC 381; 4SP 233.
354. Ni waasi--4SP 63, 70; COL 179; GC 65.
355. Inajiona bora--PK 532.
356. Ni wakali--YI 10-11-04.
357. Ni vipofu--RH 2-8-81.
358. Wana majigambo--ST 9-14-88.
359. Wamechanganyikiwa--GC 381.
360. Imepotoka--Ed 54; GC 382; 4SP 232; TSB 188; UL 83; 7BC 983; YI 5-21-03; 4MR 125.
361. Ina tamaa--Ed 176; ST 10-1-02.
362. Ni dikteta--GC 382; 4BC 1169.
363. Ni wakatili--YI 12-13-04.
364. Wana moyo mgumu--1SG 192.
365. Wana haraka katika maamuzi--YI 10-11-04.
366. Wanajiona kuwa ni bora zaidi ya wengine--BE 4-25-98; YI 5-19-98.
367. Ni waabudu sanamu--FCE 412; 4BC 1169.
368. Ni najisi--AH 464.
369. Wanafuata tamaa--ST 7-27-91.
370. Hawana kiasi--AH 464; TMK 247.
371. Wamelewa--ST 9-14-88.
372. Huangaliwa kama mungu--PK 534.
373. Haimtegemei Mungu--BTS 12-01-12.
374. Haina unyenyekevu--RH 4-30-89.
375. Hakuna furaha katika utawala wake wa kimabavu--13MR 66.
376. Mahusiano yaliyo ya jinsia moja--PK 534.
377. Hakuna huruma--RH 4-15-90.
378. Ina majivuno--RH 2-1-81, 7-19-87; MLT 256; AG 44; ST 2-12-80; Ed 176; PK 515; 4BC 1169.
379. Ina tamaa za binafsi--RH 5-7-89.
380. Ina ubinafsi--ST 7-27-91.
381. Imejitenga kutoka kwa Mungu--PK 501; 19MR 122.
382. Ni wakaidi--4SP 421; GC 603.
383. Ni waonevu--13MR 66; YI 12-13-04.
384.Haina haki--7BC 983.
385. Ina ufahamu mzuri juu ya tabia ya Mungu--ST 5-6-97.
386. Inafahamu vema njia za Mungu--ST 5-6-97.
387. Ni waovu--1MR 361; FCE 412.
388. Mfumo wake wa ibada ni upotoshaji wa mfumo wa Mungu--DA 28.
389. Watu wake wenye hekima wanapungua mara kumi kuliko wale walio karibu na Mungu--FCE
373-74.
390. Wivu--YI 9-6-1900; 4MR 127.
391. Wenye wivu--SL 42.
392. Huua kwa upanga (mafundisho)--PK 459.
393. Wanajua ni nini iliyo tabia ya Mungu lakini hawaiaksi--CC 252.
394. Huweka mitego kudanganya watu wa Mungu--YI 9-6-1900; 4MR 127.
395. Huweka hazina kwa ajili ya nafsi zao--COL 258-59.
396. Huongoza wengine kufuata njia ya Shetani badala ya ile ya Kristo--ST 11-14-95.
397. Huongoza wengine kukanyaga kwa miguu Sabato ya Mungu--TM 61; RH 9-12-93.
398. Huongoza katika kuendekeza tamaa--18MR 260.
399. Huacha kanuni katika dini--SD 174.
400. Wameachwa kupokea madanganyifu makubwa--GC 390; Mar 173.
401. Zinaa imejaa ndani yake--4BC 1167; SD 174; YI 8-18-98, 10-29-07; TSB 188.
402. Maisha hutawaliwa na mazingira--SD 174.
403. Huinua moyo dhidi ya Mungu--RH 4-30-89.
404. Huinua ubinafsi dhidi ya Mungu--ST 9-14-88.
405. Huishi kwa ajili yao wenyewe--YI 5-14-03.
406. Upotevu wa kufikiri--RH 4-30-89.
407. Kupenda anasa--PK 523.
408. Wapenzi wa anasa zaidi kuliko kumpenda Mungu--GC 390.
409. Maajabu yadanganyayo ndani yake--Series A#1b, ukr. 17; 2MR 228.
410. Imejengwa na watu waovu na wenye haki--RH 3-21-07.
411. Wenda wazimu ndani yake--PK 530.
412. Huwatukuzu wanadamu--13MR 61.
413. Hutoa maamuzi dhidi ya sheria za Mungu--RH 2-1-81.
414. Huwafanya watu wa Mungu waonekane wa pekee--YI 10-5-99.
415. Hulifanya neno la Mungu kutokuwa na maana--LDE 248.
416. Hufanya maongezeo makuu kwa mji--YI 10-11-04.
417. Hufanya mapambo makuu ya nje--GC 382.
418. Hufanya amri kali--FCE 374.
419. Hufanya sheria zinazopingana na sheria za Mungu--PT 11-4-86.
420. Hutoa amri ya kukamilisha jambo--PK 714.
421. Hufanya maneno ya maonyo kuwa si kitu--19MR 122.
422. Huwafanya wengine kulewa kwa mvinyo (mafundisho ya uongo)--TDG 172; RH 11-8-1956; 1MR
353.
423. Huwafanya watumishi wa wengine--PK 441.
424. Huchezea mambo matakatifu--BE 4-25-98; YI 5-19-98.
425. Huifanya nuru ya mbinguni kusaidia katika kujiinua nafsi--ST 4-29-97.
426. Huifanya nuru ya mbinguni kutumikia majivuno yao--ST 4-29-97.
427. Hufanya ukweli wa Mungu kuwa si kitu--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
428. Hufanya mambo ya furaha kinyume cha Mungu--ST 9-14-88.
429. Hudhihirisha moyo wa majivuno--YI 11-9-93.
430. Hudhihirisha majivuno--YI 2-2-04; ST 4-29-97; PK 522; 13MR 66.
431. Hudhihirisha tamaa za kishetani--2MR 209.
432. Hudhihirisha majivuno ya ubinafsi--PK 504.
433. Hudhihirisha tabia ya uovu--7BC 980.
434. Wachungaji hujazwa na hasira kadiri ambavyo mamlaka yao yanahojiwa--GC 607; 4SP 424.
435. Wachungaji huleta hekaya za wanyama--GC 607; 4SP 424.
436. Wachungaji hutabiri mambo laini--GC 607; 4SP 424.
437. Wachungaji hujaribu kunyamazisha dhamiri za watu zilizoamshwa kwa ukweli--GC 607; 4SP
424.
438. Wachungaji hujaribu kupoza hofu za watu kwa ukweli halisi--GC 607; 4SP 424.
439. Vicheko ndani yake--RH 2-8-81.
440. Hutumia vibaya kweli za Mungu--ST 5-13-97.
441. Hutumia isivyo Maandiko Matakatifu--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
442. Hutumia visivyo maneno ya maonyo--19MR 122.
443. Hutafsiri visivyo kweli za Mungu--ST 5-13-97.
444. Hutafsiri visivyo maneno ya maonyo--19MR 122.
445. Huchanganya dini ya makafiri pamoja na dini ya Mungu--16MR 336.
446. Humdhihaki Mungu--1SG 153.
447. Giza ya kiroho ndani yake--(92)GW 433; RH 5-13-84.
448. Jina la Ukristo tu--1SG 153.
449. Hukataa maonyo yaliyo wazi kabisa--19MR 381.
450. Hukataa kufahamu zaidi ukweli--PK 523.
451. Hukataa kufuata shuhuda za maonyo--13MR 62.
452. Hukataa kufanya kazi maalum Mungu aliyowapangia--YI 5-14-03.
453. Hawana tofauti na ulimwengu--EW 273.
454. Hawana hofu ya Mungu mbele yao--BE 1-15-93.
455. Hakuna sura ya Kristo inayopatikana ndani yao--GC 390.
456. Hakuna upendo wa Mungu mbele yao--BE 1-15-93.
457. Hakuna nguvu za kufanya miujiza ya Mungu ndani yake--12MR 123.
458. Hakuna kizuizi dhahiri kinachowekwa katika moyo wa mambo ya kimwili--4SP 422.
459. Siyo matajiri kumwelekea Mungu--COL 258-59.
460. Hawatembei nuruni--TM 61; RH 9-12-93.
461. Mwanzoni walikuwa ni uwanja wa kiroho wa Mungu lakini sasa wameanguka kutoka katika huo--
14MR 152; TM 117; Ev 197.
462. Hufungulia mlango wa sifa za kishetani--19MR 122.
463. Hutenda kazi chini ya msonge wa madaraka--GC 59.
464. Hupinga ujumbe wa malaika wa kwanza--1SG 140; EW 273.
465. Huwapinga wale wanaojaribu kutunza amri za Mungu--ST 5-13-97.
466. Hupinga kazi ya nabii wa Mungu--PK 442.
467. Hukandamiza--RC 88; COL 178; EW 275.
468. Huwakandamiza watu wapendwa wa Mungu--1SG 140; EW 273.
469. Huwakandamiza wale ambao hawamtumikii Mungu kulingana na mipango yao--YI 11-22-94.
470. Kuvutia kwa nje--7BC 983.
471. Amri za nje zinaruhusiwa kuchukua nafasi ya Mungu--GCDB 3-7-99.
472. Hutweza kwa nguvu--YI 12-13-04.
473. Majaribu ya kutisha ndani yake--ST 3-4-89.
474. Hupitisha sheria ambazo zinapingana na sheria za Mungu--YI 10-5-99.
475. Huwataabisha watu wa Mungu--TM 37; RH 8-22-93.
476. Hutesa--PK 714; 4SP 239; 1SG 146.
477. Huwatesa watu wa Mungu wanaotunza amri ya nne--GC 603.
478. Huwatesa watakatifu--GC 382.
479. Huwatesa wale wanaomfuata Mungu--GC 382.
480. Huwatesa wale wanaotunza kitakatifu amri kumi--4SP 421.
481. Huwatesa wale wanaotunza amri za Mungu--GC 603.
482. Huwatesa wale wanaokataa kufuata desturi na taratibu--LDE 136.
483. Upotofu katika moyo--PK 530.
484. Hupotosha injili--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
485. Hupotosha ukweli--YI 2-2-04.
486. Hupotosha ukweli na kuzuia makusudi ya Mungu--ST 4-29-97.
487. Hupotosha maonyo ya Mungu--YI 10-11-04.
488. Huweka dharau juu ya watu wa Mungu--GC 603; 4SP 421.
489. Huweka dharau juu ya neno la Mungu--GC 603; 4SP 421.
490. Humweka mwanadamu mbele ya wengine kama kitu cha ibada--13MR 61.
491. Hujiweka wenyewe upande wa Shetani katika suala--Pam #154, p 59.
492. Hupanga kupanua ufalme kuliko inavyohitajika--YI 10-11-04.
493. Hupanga kupanua ufalme ili kupata nguvu zaidi--YI 10-11-04.
494. Hupanga kwa ajili ya mazuri ya ubinafsi--COL 259.
495. Hupanga kutajirisha ufalme wao wenyewe kwa hazina za Kanisa la Mungu--PK 346.
496. Hupendeza ulimwengu--YI 10-25-94.
497. Hupanga kwa ajili ya uharibifu wa watu wa Mungu--ST 11-4-89.
498. Hufuata dini ambayo inatawaliwa na mazingira--YI 10-25-94.
499. Hufuata dini ambayo huacha kanuni nje--YI 10-25-94.
500. Huendesha aina ya dini rahisi, inayovumilia watu--SD 174; YI 10-25-94.
501. Huhubiri vitu laini--EW 273.
502. Hujiandaa kupinga mvuto wa ukweli--21MR 284.
503. Huweka kileo najisi kwa wengine--RH 5-7-89.
504. Huweka chakula kilicho najisi kwa wengine--RH 5-7-89.
505. Huleta hekaya--GC 606; Ev 700.
506. Hujifanya kuwa Kanisa la Mungu--GC 237.
507. Hujifanya wenyewe kuwa upande wa mbingu--GC 237.
508. Matapo--YI 9-1-03.
509. Hujivuna katika hekima yao wenyewe--8T 127.
510. Hudai kufuata imani ya Kiprotestanti lakini hawaifuati--GC 383.
511. Hudai kuwa waliochaguliwa na Mungu--EW 273.
512. Hudai kufuata kweli za Mungu--GC 382.
513. Kujitapa kwa dini hufunika uovu wa kutisha ndani--4SP 422.
514. Ufujaji wa mali--YI 8-17-99.
515. Maendeleo ya mamlaka ya upapa ndani yake--GC 606; Ev 700.
516. Hukataza kuhubiri injili safi--PK 714.
517. Huahidi mema kwa wale wanaowatii wao--7BC 983.
518. Hutabiri vitu laini--GC 606-07.
519. Wanalindwa na mto Frati--PK 523.
520. Huadhibu kwa kifo wale wasiotii amri zao--14MR 91.
521. Huadhibu kwa kifungo wale wasiotii amri zao--14MR 91.
522. Huvutana na wale walio katikati yao ambao wanashikilia ukweli wa Mungu--1SG 146.
523. Husukumia nuru ya ukweli mwanzoni--BE 2-1-97; RH 3-16-97.
524. Humweka mwanadamu mahali pa Mungu--UL 35.
525. Huwa na hasira dhidi ya wale wasiotii amri [zake]--ST 9-2-97.
526. Ukaidi--ST 11-14-95; YI 8-17-99.
527. Hupokea madanganyifu makubwa--4SP 239.
528. Hukataa nuru ya ujumbe wa marejeo--GC 389.
529. Hukataa ujumbe wa ukweli--2SM 68; 1MR 361.
530. Hukataa ukweli--1MR 302, 361; 2SM 68.
531. Hukataa kufanywa upya katika tabia--21MR 284.
532. Hukataa kufanywa upya katika imani--21MR 284.
533. Hukataa kuacha dhambi kwa haki--13MR 63.
534. Hukataa kutupilia mbali kiwango cha Shetani--ST 11-14-95.
535. Hukataa kutii sheria za Mungu--RH 2-6-1900; ST 5-13-97.
536. Hukataa kupokea ujumbe wa malaika wa kwanza--EW 273.
537. Huwachukulia watu kuwa bora zaidi ya Mungu--YI 4-7-08.
538. Hukataa ujumbe wa malaika wa kwanza, wa pili, na wa tatu--1MR 361; GC 390.
539. Hukataa nuru kutoka mbinguni--ST 7-27-91; 1SG 140, 146.



KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NASI
0756959525,0752164685
Share:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Popular Posts

Lebo

Recent Posts

Pages